Fisadi Mtoto
JF-Expert Member
- Jan 7, 2008
- 639
- 79
Wakati vugu vugu la uchaguzi likiendelea ndani ya Ccm leo hii mjini Nzega, Mh Kigwangala akiwa katika harakati za kupanga timu yake ya ushundi amekamatwa na wana takukuru akigawa vitumbua na elfu mbili mbili kwa wapiga kura wa chaguzi za jumuhia ngazi za Wilaya.
Bado wanaendelea kuhojiwa ofisi za Takukuru Wilaya
Bado wanaendelea kuhojiwa ofisi za Takukuru Wilaya