POMPO
JF-Expert Member
- Mar 12, 2011
- 6,690
- 2,400
we said mkuu, Toka Bongo mpaka USA yale yale tulidhani wabeba mabox wa CCM wana busara kumbe wapi. shame on you NyinyiEM!Kumbe ndiyo maana yule Nepi tumbo lake limefutuka vile, yaani magamba bana hata dume linaweza olewa kwa sahani ya ubwabwa.
Dr. Kingwangala yupo sahihi huu ni mfumo wa CCM kuhonga Chakula... Bashe wewe utahonga nini?