Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
watu wameshafunguka huko chinaDrugs dealer! Alikuwemo kwenye list ya Amina Chifupa (RIP)
watu wameshafunguka huko chinaDrugs dealer! Alikuwemo kwenye list ya Amina Chifupa (RIP)
niliwauliza siku moja vijana wa popo bawa na migomigo magomeni kuhusu Idd Azan kama mbunge wao. nilishiba! Kafanye karesearch maeneo hayo utanyamaza mwenyewe.
Ila sasa huyu Azani kazidi,naona anauza kwa jumla tu,lakini nasikia balozi wa Tanzania China ni balozi wa Azan pia kibishara na ndio maana aliyeandika barua kagwaya kutupia jina kuogopa assassination in cell???????????????hahahah Mkuu si unajua tena na Mpango wa SAGOT and Sister Mosanto!? analima mahindi Pakistan na Kuuza SA na China! wakati mwingine tukiwa na upungufu wa chakula huwa anauzia humu nchini kwa bei ya punguzo kwa amri ya Mkuu!
Mmh,hapo umemuweza kweli.Ngoja niwashauri wagombea watarajiwa wa Ubunge jimbo la kinondoni waje wajisomee wenyewe wapate pakuanzia.
Nadhani watanzania ni wajibu wetu kuacha kuangalia sana watu bila kujiangalia sisi,pia tuongee bila neno wivu bali tubase on facts tu...Kuna biashara nyingi mno watu wanafanya za ndani na nje na ni za halali tu,ni kuthubutu na kupata mkopo na mkopo kuleta matunda mazuri.tusiishie kujiuliza yule ana nini na kwanini,kwani ndani ya serikali sasa kuna kitengo maalum cha MONEY LAUNDERING,na sheria tunayo pia.watu wa usalama wapo wenye ujuzi na mabo ya fedha hata katika level ya chini huchunguza watumishi na mapato yao,na sasa pia watanzania wote.Tuwaachie wao saaana kama kwasababu wanajua how to treat such people..NINGEWAOMBA SANA hao wanausalama wawe wanatumia rumours na taarifa zozote na kumulika muuza madawa au biashara yoyote chafu,hatimae kuwatangaza na kuwafunga...ni aibu
Idd Azan na Mussa Azan are in anyway related?
Langu kwa leo ni kutaka mnisaidie kufahamu, Mh. Iddi Azan mbunge wa Kinondoni anajushughulisha na biashara gani hadi kupelekea kumiliki vitu vingi vya thamani kubwa kama magari ya kifahari sana kuliko mbunge yeyote hapa Tanzania na hadi kulingana na wafanyabiashara wakubwa.
Tajiri Tanzania anaanzia shilingi ngapi?
LOCATION | COURSE/DEGREE/AWARD | START DATE | END DATE | LEVEL |
---|---|---|---|---|
Dar City College | Diploma (Management) | 2004 | 2005 | DIPLOMA |
Local Government Training Institute - Hombolo, Dodoma | Certificate | 2003 | 2004 | CERTIFICATE |
Eastern & Southern African Management Institute (ESAMI) | Certificate | 2002 | 2004 | CERTIFICATE |
Institute of Adult Education - Dar es Salaam | Secondary Education | 2002 | 2003 | SECONDARY |
University Computer Centre | Certificate in Computer Course | 2001 | 2001 | CERTIFICATE |
Magomeni Primary School | Primary Education | 1977 | 1979 | PRIMARY |
Vuluni Primary School, Mombo | Primary Education | 1973 | 1976 | PRIMARY |
Mkuu mbona umeishtukia hiyo haraka haraka! Anataka kukuingiza kwenye biashara kijanja he he he!Majina haya rahisi sana kuyachanganya! naona hapo juu mkuu ulikuwa na maana juu yake !!!!!!!
Langu kwa leo ni kutaka mnisaidie kufahamu, Mh. Iddi Azan mbunge wa Kinondoni anajushughulisha na biashara gani hadi kupelekea kumiliki vitu vingi vya thamani kubwa kama magari ya kifahari sana kuliko mbunge yeyote hapa Tanzania na hadi kulingana na wafanyabiashara wakubwa.
Siri za Utajiri bongo ukiambiwa unaweza kimbia....!!!