Give me a break!!!!alipouzia chama magari mabovu anaprove ni kiongozi shupavu na si mchumia tumbo??acheni kumwagia sifa wakti anamapungufu kibao nyuma ya pazia!!!Kwa kweli juhudi za kamanda MBOWE zinaonekana wazi huyu ni kiongozi SHUPAVU na si mchumia tumbo kikubwa zaidi hapendi umaarufu wa wazi wazi kama wanavyofanya wengine.
Laiti ingelikuwa amri yangu ningependekeza Mbowe awe Mkiti wa kudumu huku Dr Slaa awe Katibu mkuu wa kudumu
unataka kumsahau mwalimu kwasababu ya mbowe. unadhani mbowe akitawala hii nchi miaka 23 ataondoka maskini kama nyerere.
Ni kitambo toka afahamike kama mtu machachari na anayejiamini na msimamo endelevu kwa manufaa ya wengi
Hakika ni wachache wenye ujasiri huu, au kuishi ndani ya siasa bila kuchuja kwa muda mrefu kama alivyo kamanda huyu.
Mh. huyu kwa sasa ameanza kugusa wengi hususani wazee na vikongwe ambo awali walikua waogopa upinzani hususani baada ya kujiimarisha katika kutoa hoja na kuzitetea kwa kujieleza kwa umahiri mkuu.
Kaka Mbowe kwa sasa anaonekana kuwa ameiva katika kufikisha ujumbe kwa makundi mbalimbali...hu ndio uongozi kaka yangu.
Nimekufuatilia toka january mwaka huu hadi sasa...kwa kweli umenikosha kwa staili yako nzuri ya siasa na uwezo wakuteka mass... heko kwa hili
Lamsingi hapa tunamwomba Mh. awaelekeze baadhi ya makamanda wa juu yuu ya umuhimu wa siasa zipendwazo ambazo kwa kweli hapa CHADEMA wanasimama kama wanaharakati wa Taifa hili changa ila lililozeeka kwa ukosefu wa ubunifu wa maendeleo ya kweli.
Kuna aliyevuliwa ubunge kule kaskazini, anaonekana kuwa bado na siasa zenye madoa kidogo lamsingi hapa awateke vijana au sijui ni kwamba ni nia ya Chama kujaribu kuteka watu wa kada mbalimbali kwa wasifu mbalimbali.
Je hapo alipo pametosha au tusubiri mengi mazuri toka kwake ktk elimu ya M4C?
Bravo HQ Leaders.......peoplesssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssss''''sssssssssssssssssssss'
Mnamshabikia mpiga Disco kweli nyinyi ni wachovu khaa
Mbowe kajipanga anataka kugombea urais mwaka 2015 alimuachia Dr Slaa, mwaka 2010 akashindwa anataka naye ajaribu tena.
Mnamshabikia mpiga Disco kweli nyinyi ni wachovu khaa
Laiti ingelikuwa amri yangu ningependekeza Mbowe awe Mkiti wa kudumu huku Dr Slaa awe Katibu mkuu wa kudumu...........
Laiti ingelikuwa amri yangu ningependekeza Mbowe awe Mkiti wa kudumu huku Dr Slaa awe Katibu mkuu wa kudumu........
Mbowe kajipanga anataka kugombea urais mwaka 2015 alimuachia Dr Slaa, mwaka 2010 akashindwa anataka naye ajaribu tena.
Give me a break!!!!alipouzia chama magari mabovu anaprove ni kiongozi shupavu na si mchumia tumbo??acheni kumwagia sifa wakti anamapungufu kibao nyuma ya pazia!!!......
Mnamshabikia mpiga Disco kweli nyinyi ni wachovu khaa
Heri ya mpiga Disco aliyeliinua disco lako from the root level mpaka katika international level kuliko mchumi ambaye tangu amalize kuusoma hakuwahi kuufanyia kazi na hata sasa baada ya kupwa kiongozi mkubwa kabisa hata hajui namna ya ku apply taaluma yake ili kuijenge nchi.Mnamshabikia mpiga Disco kweli nyinyi ni wachovu khaa