ni muanzilishi wa ipad ndani ya bunge,sisiemu nao wakaiga,kujionyesha kua wanajua sa hivyovitu,kigoma malima akaja na ipad,galax tab,blackberry aina tatu za bei,aibu iliyoje?madudu yote hayo anatumia saa ngapi na anakua na muda wakufanya mambo mengine mudagani.ushamba mzigo jamaa sijui kabila gani yule!!Kwa kuongezea tu uliyoyasema,
Ni kamanda mbunifu wa matumizi ya ndege, ccm wakamzomea, mwisho nao wakalazima kuiga ubunifu wake.
Ni kamanda aliyeanzisha M4C arusha na sasa zinatikisa nchi nzima.
Ni kamanda wa aliyeanzisha sare za chama.
Kwa ujumla ubunifu wake ndio imekuwa nguzo muhimu kwa ukuaji wa chadema. Bravo.