mbowe ni kiongozi asie teteleka wala kununuliwa kwa garama yoyote wanachama na viongzi bado wanakuitaji uenderee kuiongoza chadema asiye taka mbowe aongoze ujuwe uyo ni kibaraka wa maccm mungu ibaliki chadema...
.............sidhani kama dr wa ukweli akiwa m/kiti ndio atakijenga chama..tukumbuke kuwa katibu ndiye mtendaji wa chama,mwenyekiti ni figurehead,symbol,spokesman kwa baadhi mambo nk...nadhani dr slaa anafaa kuwa katibu zaidi kuliko m/kiti..
Nilidhani ungesema hii sio chadema uliyoijenga kumbe unayoijua.Laana ya wapi hii. Mmechona wangapi wewe wakati wewe si mwanachama na hata ungekuwa mwanachama huna siafa za kuongea kwa vile wewe ni very CHEAP na upo kutafuta maslahi yako.Naanzisha Vugu vugu la Mbowe na Dr Mashinji kuachia Ngazi.
Hii sio ile CHADEMA tunayoijua.
Nani yuko Salama kwa Sasa ?
We Need Mbowe & Dr Mashinji to Step out.
Come on Lissu, Come On Godbless Lema, Come Jay Jay Mnyika, Come Halima Mdee, Come Jose Mbilinyi, Come on Suzan Kiwanga, Come on Mayor Bonie
We Need you Guys Pale Juu Kabisa
Tumeporwa U Mayor wetu Kino Kihuni Kabisa tumekaa Kimya, Our Godbless yuko Kizuizini tuko Kimya.
Our Peter now anaenda Jela, tuko Kimya.
Mbowe say something otherwise Kesho narudisha kadi yangu ya Chama na kum Join Dr Slaa.
John Mnyika ,Mwanahabari Huru , Tundu Lissu , Tumaini Makene , Mungi , Crashwise ,Arushaone . musa allan
Sheria ni kwa wasio chama cha Kijana tu ....Sasa mnataka Mbowe awatetee wavunja sheria? Mwenzenu Mbowe kashtuka mapema kabisa, kaanza kutii sheria bila shuruti.
Mtafungwa sana kwa sababu mnavunja sheria kwa kusema mbona na fulani anavunja. Ukitaka kuwa salama ni kutii sheria bila shuruti basi.Sheria ni kwa wasio chama cha Kijana tu ....
Hivi kesi ya Mula imeishia wapi?....
upumbavu na nyie ni kama samaki na maji......