Mh. Ezekiel Maige awagalagaza wapinzani jimboni kwake

Akiwa ziarani katika kijiji cha Bulige wilayani Kahama.Mh. E.Maige Mbunge wa Msalala amesema CCM inatekeleza sera ilizoahidi kwa wananchi na kwamba wapinzani hawawezi kuleta maendeleo kwa wananchi, zaidi wataishia kupiga kelele na kutaka maandamano ya umma. Mwana jf changia hoja hii.


  1. Mbeya Mjini - Chadema
  2. Musoma Mjini - Chadema
  3. Mji Mkongwe - Kafu
  4. Iringa Mjini - Chadema
  5. Mwanza (Ilemela & Nyamagana)-Chadema
  6. Arusha Mjini - Chadema
  7. Lindi Mjini - Kafu
  8. Moshi Mjini - Chadema
  9. Ubungo - Chadema
  10. Kawe - Chadema
  11. Shinyanga Mjini - chupuchupu-mkachakachua
  12. Ukonga - mkachakachua
  13. Pemba mlishanyoosha mikono kwa Kafu

Tumwekambiza mjini tutashindwa kuwakimbiza vijijini? Tunakuja kuwashika!!!
 
@stanslaus! Ukienda milembe hosp. na dokta akakuruhusu kurudi home walahi nitachana vyeti vya huyo dokta
 
Hajawahi kutunga insha kijana..Amewagalagaza kivipi na hawaonekani??? basi na mimi nikisema Mafisadi hawaleti maendeleo ndiyo nimewagalagaza?? Saburi Pevu wewe.
 
Wakuu wote mliochangia hoja hii nawashukuru sana. Maana kila mmoja amezungumza kile alichoona kinafaa kuwekwa hapa. Kumbukeni ''Macho ya wengi ni dawa'' Nathamini mawazo yenu na kama yapo zaidi endeleeni kuchangia zaidi.


Wewe kweli siyo mzima. Kimbia milembe fasta kabla hujajeruhi jirani zako hapo.
 
Tufafanulie hayo maendeleo Maige amefanya huko Msalala.

Kwa ufupi Mh. Maige katika kipindi chake hiki cha ubunge, ameboresha barabara nyingi za vijijini ikiwepo ile ya kahama-bulige, ameboresha huduma za afya kwa kusambaza ambulance katika vituo vyote vya afya jimboni, ameleta huduma ya maji katika vijiji vingi mfano Chela, kashishi, kinaga, Ngaya n.k. Amesambaza umeme wa jua katika sekondari za kata, ametoa baiskeli kwa walemavu na mengine mengi. Katika kuelezea maendeleo aliyoleta Mh.Maige inaonesha upinzani mpaka sasa hakuna walichokifanya hususan pale Kahama mjini(ambapo ni ngome ya upinzani) mpaka sasa barabara zina mashimo ya kufa mtu. Mwenye ushahidi endapo kuna maendeleo yaliyoletwa na upinzani jimboni Msalala aanike hapa.
 
None sense, kila leo kuuza na kusafirisha nyara, magogo na wanyama wa serikali kwa njia za kifisadi sasa huu upuuzi anaoongea ni nini?
duu umeenda mbali sana great thinker mleta mada bado anajifunza au anfaidi kupitia mfumo ilopo,,,naungana na wewe sera ya maisha bora ina wenyewe ktk ccm sio wote wengine wanwasindikiza wengine kama tunavyo wasindikiza kina maige
 
Kwa ufupi Mh. Maige katika kipindi chake hiki cha ubunge, ameboresha barabara nyingi za vijijini ikiwepo ile ya kahama-bulige, ameboresha huduma za afya kwa kusambaza ambulance katika vituo vyote vya afya jimboni, ameleta huduma ya maji katika vijiji vingi mfano Chela, kashishi, kinaga, Ngaya n.k. Amesambaza umeme wa jua katika sekondari za kata, ametoa baiskeli kwa walemavu na mengine mengi. Katika kuelezea maendeleo aliyoleta Mh.Maige inaonesha upinzani mpaka sasa hakuna walichokifanya hususan pale Kahama mjini(ambapo ni ngome ya upinzani) mpaka sasa barabara zina mashimo ya kufa mtu. Mwenye ushahidi endapo kuna maendeleo yaliyoletwa na upinzani jimboni Msalala aanike hapa.
kama miezi 3 iliopita pale kwake segese palikuwa na fujo wananchi walitaka kubomoa house kisa kashusha generator ya kutumia kwake wakati aliwaahidi umeme,upinzani unakusanya kodi?

 
Akiwa ziarani katika kijiji cha Bulige wilayani Kahama.Mh. E.Maige Mbunge wa Msalala amesema CCM inatekeleza sera ilizoahidi kwa wananchi na kwamba wapinzani hawawezi kuleta maendeleo kwa wananchi, zaidi wataishia kupiga kelele na kutaka maandamano ya umma. Mwana jf changia hoja hii.[Mh. Ezekiel Maige awagaragaza wapinzani jimboni kwake/QUOTE
mtoa mada hujaeleweka!
 
Akiwa ziarani katika kijiji cha Bulige wilayani Kahama.Mh. E.Maige Mbunge wa Msalala amesema CCM inatekeleza sera ilizoahidi kwa wananchi na kwamba wapinzani hawawezi kuleta maendeleo kwa wananchi, zaidi wataishia kupiga kelele na kutaka maandamano ya umma. Mwana jf changia hoja hii.
Hili ndio tatizo la kusoma shule za Kata; amewagalagaza kwani kulikuwa na uchaguzi mdogo halafu maige akashinda?
 
Huyu jamaa anajiona mjanja kwa vile jimboni kwake wananchi wengi hawana elimu ndipo anapojipatia mwanya wa kuwaibia. Ajenge University of Msalala ndipo tutaanza kufikiria ukweli wa mambo anayozungumza.
 
Nafikiri huelewi maana ya KUGARAGAZA, jaribu kupitia kamusi ya kiswahili sanifu kwanza kama hujui maana ya maneno ya kiswahili halafu uandike.
 
Kwa ufupi Mh. Maige katika kipindi chake hiki cha ubunge, ameboresha barabara nyingi za vijijini ikiwepo ile ya kahama-bulige, ameboresha huduma za afya kwa kusambaza ambulance katika vituo vyote vya afya jimboni, ameleta huduma ya maji katika vijiji vingi mfano Chela, kashishi, kinaga, Ngaya n.k. Amesambaza umeme wa jua katika sekondari za kata, ametoa baiskeli kwa walemavu na mengine mengi. Katika kuelezea maendeleo aliyoleta Mh.Maige inaonesha upinzani mpaka sasa hakuna walichokifanya hususan pale Kahama mjini(ambapo ni ngome ya upinzani) mpaka sasa barabara zina mashimo ya kufa mtu. Mwenye ushahidi endapo kuna maendeleo yaliyoletwa na upinzani jimboni Msalala aanike hapa.

Maendeleo aliyoyaleta hayaendani na wale TWIGA we2 aliyeuza nje ya nchi, garama zilizo2mika hapo ni sawa na katoto kamoja ka TWIGA
 
Maendeleo aliyoyaleta hayaendani na wale TWIGA we2 aliyeuza nje ya nchi, garama zilizo2mika hapo ni sawa na katoto kamoja ka TWIGA

Mkuu si sahihi kwamba maendeleo yanayoletwa na Maige yanatokana na hao twiga.
 
Back
Top Bottom