Brightman Jr
JF-Expert Member
- Mar 22, 2009
- 1,225
- 232
Akiwa ziarani katika kijiji cha Bulige wilayani Kahama.Mh. E.Maige Mbunge wa Msalala amesema CCM inatekeleza sera ilizoahidi kwa wananchi na kwamba wapinzani hawawezi kuleta maendeleo kwa wananchi, zaidi wataishia kupiga kelele na kutaka maandamano ya umma.
Mwana jf changia hoja hii.
Mwana jf changia hoja hii.