Mh. Edward Ngoyayi Lowassa: Acha kucheza na akili za Watanzania

chuki binafsi!
Kwa mtazamo wako, inamaana hata Microsoft alaaniwe kwa kuua ajira za vijana wengi ma-messenger na ma-typist! Na Yahoo/GMail walaaniwe kwa kuua ajira za vijana wetu kule Posta na Simu!

Kwa mtazamo huu, sioni wa kumgusa Lowassa (ndani ya CCM), maana kila mara wimbo ni ule ule "Richmond", "ni Fisadi", "Nyerere alisema ana mali nyingi", ....

Bila shaka ungekuwa na hoja iwapo ungetuambia hiyo kampuni inatumia tekinolojia gani ambayo ni "unique" zaidi ya binadamu katika kufanya kazi zake ndani ya taasisi za serikali.Ni mfano mfu kulinganisha Microsoft na kampuni ya kufagia ambayo inachukua 200,000 toka Serikalini na kumlipa mwajiriwa 80,000.Eti ajira!tujihurumie jamani na kama sio sisi basi ndugu zetu.Hii si ajira bali unyonyaji na mkakati ulibuniwa kwa "ubinafsi"?Ushindani ulikuwepo wa kweli ama ni VIMEMO?.

Mke wa Waziri Mkuu unalishwa na kufanyiwa kila shughuli na fedha za umma wa Watanzania, kushindana na Masikini katika kupata tenda tena ndani ya chombo cha umma huu si unyonyaji?Usipopewa tenda, huyo anayepitisha atakuwa katika hali gani?
 
Watanzania wasisumbuke na tishio la ENL time will tell,hakuna mtu aliekuwa na nguvu kubwa Tanzania,kama Mzee Marecela,hakuna mtu aliyekuwa na kiu kubwa Tanzania ya kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kama Mzee wangu Mr J Marecela.Akili na uwezo ya Mzee huyo ukilinganisha na usomi wake na zaidi exposure kimataifa [United Nations].Kiasi watu wa Mataifa kumuita A STAR SHINING ON THE DARK haviwezi kamwe kulingana na uwezo wa ENL,hapo ni mto na bahari.

Hatimae ya yote aliukosa Urais si kwa kuzuiwa tu na Mwalimu, hata baada ya kifo cha Mwalimu alibaki na Mr Clean BWM ambae kama ni uwezo,nguvu ya kukubali ndani ya chama,ndani ya Bunge na ndani ya Serikali na utendaji wake ngazi ya kimataifa bado Mzee Jonn Marecela alikuwa juu zaidi BWM.Lakini amini usiamini na uwezo wote huo Mzee wangu huyo alikwaa kisiki,na hatimae vitabu na historia vimeishi kuonyesha kuwa ni Msomi na Waziri na Cheo Kikubwa kwakee kimamlaka ni cha Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania.

Usisau cheo alichonacho sasa ENL ndio cheo hicho hicho alichopata kuwa nacho Mzee Marecela, hivyo kwa strategist ni mkakati mzuri MCHAWI MPE MWANA ALEE.Hivyo makundi matatu [3] kila mmoja kupokea kivyake.Cha msingi tumetengenezewa story board na hivyo we have something to make us talk behind and create our own story.

Mwisho wa yote NAWAPA POLE WALE WOTE WENYE MATUMAINI YA KUWA ENL ANAWEZA KUJA KUWA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.

KIJADI YA TAIFA HILI UKISHAKUWA WAZIRI MKUU YOU WILL NEVER NEVER BE THE PRESIDENT OF THE COUNTRY
.Ilipata kutokea mara moja kwa Mwalimu JK aliekuwa Waziri Mkuu kisha akaja kuwa Rais ni yeye pekee na mwisho unless JADI hiyo ivunjwe,na sio kila rika lina uwezo wa kuvunja JADI hiyo inategemea na Nyakati na asilia, lakini zama hizi kwa hawa walio salia sasa hivi madarakani haitatokea kamwe.

Mtu mzima mmoja alipata kuniambia TAIFA pia uwa na jadi zake [Heshima zake] hivyo kibinadamu wakati mwingine matamanio na utashi wa kibinadamu umsukuma mtu kuvutika na nafasi ya Urais,lakini pasipo kuangalia uhalisia [Reality] na asilia [Nature] ushindwa kutumia busara na ushauri mwema kupata majibu ya matamnio yake.Ila kwa sasa ukimuuliza Mzee Marecela ilikuwaje akakosa Urais anaweza kutupatia majibu mazuri ya kumsaidia Mtaka Urais kwa pupa kupitia uzoefu wa tiketi ya Uwaziri Mkuu labda nguvu hizo akazitumia vyema kujenga wilaya ya Monduri na kuboresha elimu na maendeleo ya wilaya hiyo ,uenda watoto wa leo Monduri wakatungenezea Rais Bora wa Tanzania siku za usoni.

Watu wazima wanasema Mwalimu Nyerere na Mapenzi yake yote ya kutaka siku moja akimuona SAS akiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,pamoja na uwezo wake wote wa kushawishi na kuifluence aligota ukuta na jambo hilo,mpaka anafariki Baba wa Taifa hakufanikiwa kwa hilo.Na hata Foundation yake ambayo ina zile SPIRIT za Mwalimu na wanafunzi wake watiifu nao walipojaribu kumpigania SAS yaliyotokea ni kinyume na matarajio yao.

"Hivyo lets create our own story and thats way Life goes.''
 
Mawazo mufilisi na ya kijima kabisa kwanini wewe leo unatumia computer hutumii typewritter kupost thread humu.

Ni kupoteza muda wa Watanzania kujadili hoja zako kwani "kwenye msafara wa mamba,kenge huwa hawakosi".Read this "Edward Ngoyai Lowassa for CCM Chairman-2012" means a lot.
 
Katika "auditing" tunasema moja kati ya vitu vinavyoweza ku-impair independence ya Auditor ni pamoja na closeness,friendship or any blood relation.Tayari umeisha sema unayafahamu maisha ya Mh. Lowassa na ya familia yake vizuri sana na ukaenda mbali kumuita Mkewe "masikini" huu ndio unafiki ninaosema.After all you can't be a judge on your own case.Ukweli ni kuwa wewe ni sehemu ya familia ama miongoni mwa wale wanaofaidi matunda ya Lowassa hivyo uwezi kuwa mkweli labda uwe na upako.

In good faith huwezi kulinganisha utajiri wa Lowassa na hao uliowataja, ila umesahau kuwa hao wote si watumishi wa umma.Whatever they have is from their sweats kwa maana ya ujasiria mali hata kama na wizi upo lakini unachangiwa sana kutokuwa na uadilifu kwa watumishi wa umma (corrupted tenders + tax evasion) wenye caliber ya Lowassa.

Vile vile unaweza kuwa sehemu ya familia na usijue ndugu yako anamiliki nini kwa sababu zake binafsi hasa za kisiasa.Hii ni kwa sababu ya wewe kutokuwa chanzo muhimu cha kutoa taarifa zake binafsi.Sihitaji kuingilia maisha binafsi ya Lowassa ila unanishangaza wewe unayejua mali zake mbona hujathibitisha kwa hoja mbele ya Watanzania kwamba anashamba la ekali moja na nusu pale bagamoyo,gari ndogo toyota mark ii ya kutembelea n.k.

Tusipindishe ukweli kwa maslahi binafsi huku uongozi mbovu,tamaa ya madaraka na wizi usiokuwa na aibu ndio uliotufikisha hapa.Narudia kuwa aihitaji utafiti kuthibitisha Lowassa ni masikini,mwizi au tajiri.Masikini tangu lini akawa na magari zaidi ya saba ndani ya yard yamepaki tu?Masikini tangu lini akawa na uwezo wa kuingia ubia katika nyumba za kupangisha tena zenye hadhi ya maghorofa,viwanda (morogoro,dar,mza)?Masikini tangu lini akamiliki makampuni binafsi na ofisi kubwa mikocheni?masikini tangu lini akawa na viwanja vikubwa na vizuri katika prime areas katika miji na mikoa ya Tanzania?Masikini anaweza kupangisha ubalozi wa Nchi tajiri Afrika tena Masaki?.

Hivi kweli watanzania ni waongo?Lowassa anaishi mbinguni?Umenishangaza sana kwa kuja na hoja nyepesi huku ukijipambanua kuwa ni mtu wa karibu wa familia.Acha unafiki wewe,sina U-CCM wowote kama mnavyojadili huko kwenye vikao vyenu hapo kwake.Aidha amekwambia anagombea ama hagombei,akili za watanzania haziwezi kuchezewa kwa style zenu mnavyodhani.

Salute Mkuu!
 
narudia tena kusema kuwa lowassa anaweza kuwa rais wa ccm kinguvu ila si wa Tanzania.
 
Sijawahi kuona Edward Lowassa akiteseka kama wakati huu. Analala na vikaratasi vya speech huku na kule na simu za waandishi wa habari na maaskofu ili kutafuta jukwaa la kujijenga. Bahati mbaya sana watanzania wa leo hawapumbaziki kirahisi. Kufika 2015 atakuwa amechakaa na koo kumkauka na bado tutamuadhibu kwa kumnyima kura!

Inaweza ikawa kinyume chake ndugu, kura yako ni moja tu, kuteseka huku kuna maana yake kwani kunaweza kukajibu hakika!
 
Watanzania wasisumbuke na tishio la ENL time will tell,hakuna mtu aliekuwa na nguvu kubwa Tanzania,kama Mzee Marecela,hakuna mtu aliyekuwa na kiu kubwa Tanzania ya kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kama Mzee wangu Mr J Marecela.Akili na uwezo ya Mzee huyo ukilinganisha na usomi wake na zaidi exposure kimataifa [United Nations].Kiasi watu wa Mataifa kumuita A STAR SHINING ON THE DARK haviwezi kamwe kulingana na uwezo wa ENL,hapo ni mto na bahari.

Hatimae ya yote aliukosa Urais si kwa kuzuiwa tu na Mwalimu, hata baada ya kifo cha Mwalimu alibaki na Mr Clean BWM ambae kama ni uwezo,nguvu ya kukubali ndani ya chama,ndani ya Bunge na ndani ya Serikali na utendaji wake ngazi ya kimataifa bado Mzee Jonn Marecela alikuwa juu zaidi BWM.Lakini amini usiamini na uwezo wote huo Mzee wangu huyo alikwaa kisiki,na hatimae vitabu na historia vimeishi kuonyesha kuwa ni Msomi na Waziri na Cheo Kikubwa kwakee kimamlaka ni cha Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania.

Usisau cheo alichonacho sasa ENL ndio cheo hicho hicho alichopata kuwa nacho Mzee Marecela, hivyo kwa strategist ni mkakati mzuri MCHAWI MPE MWANA ALEE.Hivyo makundi matatu [3] kila mmoja kupokea kivyake.Cha msingi tumetengenezewa story board na hivyo we have something to make us talk behind and create our own story.

Mwisho wa yote NAWAPA POLE WALE WOTE WENYE MATUMAINI YA KUWA ENL ANAWEZA KUJA KUWA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.

KIJADI YA TAIFA HILI UKISHAKUWA WAZIRI MKUU YOU WILL NEVER NEVER BE THE PRESIDENT OF THE COUNTRY
.Ilipata kutokea mara moja kwa Mwalimu JK aliekuwa Waziri Mkuu kisha akaja kuwa Rais ni yeye pekee na mwisho unless JADI hiyo ivunjwe,na sio kila rika lina uwezo wa kuvunja JADI hiyo inategemea na Nyakati na asilia, lakini zama hizi kwa hawa walio salia sasa hivi madarakani haitatokea kamwe.

Mtu mzima mmoja alipata kuniambia TAIFA pia uwa na jadi zake [Heshima zake] hivyo kibinadamu wakati mwingine matamanio na utashi wa kibinadamu umsukuma mtu kuvutika na nafasi ya Urais,lakini pasipo kuangalia uhalisia [Reality] na asilia [Nature] ushindwa kutumia busara na ushauri mwema kupata majibu ya matamnio yake.Ila kwa sasa ukimuuliza Mzee Marecela ilikuwaje akakosa Urais anaweza kutupatia majibu mazuri ya kumsaidia Mtaka Urais kwa pupa kupitia uzoefu wa tiketi ya Uwaziri Mkuu labda nguvu hizo akazitumia vyema kujenga wilaya ya Monduri na kuboresha elimu na maendeleo ya wilaya hiyo ,uenda watoto wa leo Monduri wakatungenezea Rais Bora wa Tanzania siku za usoni.

Watu wazima wanasema Mwalimu Nyerere na Mapenzi yake yote ya kutaka siku moja akimuona SAS akiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,pamoja na uwezo wake wote wa kushawishi na kuifluence aligota ukuta na jambo hilo,mpaka anafariki Baba wa Taifa hakufanikiwa kwa hilo.Na hata Foundation yake ambayo ina zile SPIRIT za Mwalimu na wanafunzi wake watiifu nao walipojaribu kumpigania SAS yaliyotokea ni kinyume na matarajio yao.

"Hivyo lets create our own story and thats way Life goes.''

Hapo kwenye red, sio siku zote huwa hivyo, mambo hubadilika kuapiza ni vibaya!
 
Red flag in any matter may cause "query".Jadili content na usibebe BTL ukadhani ni defence mechanism ya ku-nullify the whole content. After all unajisikia faraja gani kuwa na ngo'mbe wengi ndani zizi huku wanakijiji waliokuzunguka wakiwa hawana hata kuku?.Huu ni uadilifu kweli? tambua uadilifu si kutokuwa na mali bali ni jinsi gani umekosa mali au jinsi gani umepata hizo mali pasipo kuminya ama kutwaa haki ya mtu.

Najua mko wengi mtajaribu ku-legit whatever you feel ili kulinda "status quo" lakini ukweli utabaki kuwa ukweli.

Kuna Riziki gani katika U-rais kwa nchi iliyopupunwa na kubakia hoi pamoja na wananchi wake.Kumbe yeye kuwa Rais ni Riziki basi hii ni hatari.Raiti kama ungalijua U-Rais ni mzigo usiokuwa na usingizi usingeuita RIZIKI.Ila kwa dhana ya kufikiria kuiba basi kweli ni RIZIKI.
Wewe umejaribu ku justify uchafu wake kwa kutaja msururu wa magari nyumbani kwake kwa nini wengine unatuzuia kukujibu kwa upupu huo huo. Kwanza hebu jibu simple question kama EL mchafu nani msafi?
 
nadhani EL anacheza na kichwa chake zaidi kuliko ahisivyo kuwashawishi watz. nadhani hajijui jinsi anavyooneka kituko, na kama mfalme aliye uchi asimamapo mbele ya hadhira ya watz na kubwabwaja kama afanyavyo... hawa ndo wale wadondokao ghafla kwa mpasuiko wa aorta pindi agunduapo kuwa hawa wakutazamao hakuna hakushabikiaye hata mmoja na wakipewa mawe watakuvunjavunja kama mayai
 
Watanzania wasisumbuke na tishio la ENL time will tell,hakuna mtu aliekuwa na nguvu kubwa Tanzania,kama Mzee Marecela,hakuna mtu aliyekuwa na kiu kubwa Tanzania ya kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kama Mzee wangu Mr J Marecela.Akili na uwezo ya Mzee huyo ukilinganisha na usomi wake na zaidi exposure kimataifa [United Nations].Kiasi watu wa Mataifa kumuita A STAR SHINING ON THE DARK haviwezi kamwe kulingana na uwezo wa ENL,hapo ni mto na bahari.

Hatimae ya yote aliukosa Urais si kwa kuzuiwa tu na Mwalimu, hata baada ya kifo cha Mwalimu alibaki na Mr Clean BWM ambae kama ni uwezo,nguvu ya kukubali ndani ya chama,ndani ya Bunge na ndani ya Serikali na utendaji wake ngazi ya kimataifa bado Mzee Jonn Marecela alikuwa juu zaidi BWM.Lakini amini usiamini na uwezo wote huo Mzee wangu huyo alikwaa kisiki,na hatimae vitabu na historia vimeishi kuonyesha kuwa ni Msomi na Waziri na Cheo Kikubwa kwakee kimamlaka ni cha Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania.

Usisau cheo alichonacho sasa ENL ndio cheo hicho hicho alichopata kuwa nacho Mzee Marecela, hivyo kwa strategist ni mkakati mzuri MCHAWI MPE MWANA ALEE.Hivyo makundi matatu [3] kila mmoja kupokea kivyake.Cha msingi tumetengenezewa story board na hivyo we have something to make us talk behind and create our own story.

Mwisho wa yote NAWAPA POLE WALE WOTE WENYE MATUMAINI YA KUWA ENL ANAWEZA KUJA KUWA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.

KIJADI YA TAIFA HILI UKISHAKUWA WAZIRI MKUU YOU WILL NEVER NEVER BE THE PRESIDENT OF THE COUNTRY
.Ilipata kutokea mara moja kwa Mwalimu JK aliekuwa Waziri Mkuu kisha akaja kuwa Rais ni yeye pekee na mwisho unless JADI hiyo ivunjwe,na sio kila rika lina uwezo wa kuvunja JADI hiyo inategemea na Nyakati na asilia, lakini zama hizi kwa hawa walio salia sasa hivi madarakani haitatokea kamwe.

Mtu mzima mmoja alipata kuniambia TAIFA pia uwa na jadi zake [Heshima zake] hivyo kibinadamu wakati mwingine matamanio na utashi wa kibinadamu umsukuma mtu kuvutika na nafasi ya Urais,lakini pasipo kuangalia uhalisia [Reality] na asilia [Nature] ushindwa kutumia busara na ushauri mwema kupata majibu ya matamnio yake.Ila kwa sasa ukimuuliza Mzee Marecela ilikuwaje akakosa Urais anaweza kutupatia majibu mazuri ya kumsaidia Mtaka Urais kwa pupa kupitia uzoefu wa tiketi ya Uwaziri Mkuu labda nguvu hizo akazitumia vyema kujenga wilaya ya Monduri na kuboresha elimu na maendeleo ya wilaya hiyo ,uenda watoto wa leo Monduri wakatungenezea Rais Bora wa Tanzania siku za usoni.

Watu wazima wanasema Mwalimu Nyerere na Mapenzi yake yote ya kutaka siku moja akimuona SAS akiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,pamoja na uwezo wake wote wa kushawishi na kuifluence aligota ukuta na jambo hilo,mpaka anafariki Baba wa Taifa hakufanikiwa kwa hilo.Na hata Foundation yake ambayo ina zile SPIRIT za Mwalimu na wanafunzi wake watiifu nao walipojaribu kumpigania SAS yaliyotokea ni kinyume na matarajio yao.

"Hivyo lets create our own story and thats way Life goes.''

Tusubiri tuone, maneno mengi hayasaidii na historia huwa inavunjwa pia. Kizazi hiki sio kile cha Mwalimu Nyerere, tunaona mambo na tunayafanyia kazi. Hatusikii la mtu, tukiamua tunampa urais EL kumaliza ubishi. Kama ni ufisadi, wote ni mafisadi ila tunamchukua mchapa kazi na mwenye maamuzi magumu ambaye ni EL peke yake ndani ya chama chake.
 
Upuuzi mtupu. Yote uliyoandika ni kama riwaya ya kubuni. Umetumia muda mwingi kuandika bila kuthibitisha madai yako. Tumesubiri idara zinazohusika zichukue hatu dhidi ya tuhuma zake mpaka leo hakuna kinachoendelea. Kumbe tatizo ni utajiri, hata wewe hukatazwi kuwa tajiri. Mtapiga sana kelele lakini mwisho wa ubaya ni aibu. Utajiri wa Lowassa wa kawaida sana kama wanasiasa wengine tofauti na unavyofikiri. Kwani wale wa upande wa pili wenye kumudu kumiliki hadi helkopta wao pesa wamekwiba wapi. Majungu hayajengi.
 
Ni kupoteza muda wa Watanzania kujadili hoja zako kwani "kwenye msafara wa mamba,kenge huwa hawakosi".Read this "Edward Ngoyai Lowassa for CCM Chairman-2012" means a lot.
Kitu gani kinakufanya ufikiri hoja zako ni za maana kuliko za wengine.
 
Wewe umejaribu ku justify uchafu wake kwa kutaja msururu wa magari nyumbani kwake kwa nini wengine unatuzuia kukujibu kwa upupu huo huo. Kwanza hebu jibu simple question kama EL mchafu nani msafi?

Maswali ya YES or NO ndiyo yamechangia kuharibu ubongo wako kiasi cha kushindwa kufikiri.ANYway KAMA EL NI MSAFI NANI MCHAFU?Nadhani hili ndilo jibu la swali lako.
 
john pombe magufuli for ccm chairman 2012
Ni magufuri yupi unaemzungumzia wewe! ni huyu huyu alieuza nyumba za serikali kwa bei bwelele au unamzungumzia mwingine? kama ni Magufuri huyu huyu arudishe kwanza nyumba zetu halafu ndio utueleze kuhusu kumfikiria kumuamini kumkabidhi nchi.
 
Tusubiri tuone, maneno mengi hayasaidii na historia huwa inavunjwa pia. Kizazi hiki sio kile cha Mwalimu Nyerere, tunaona mambo na tunayafanyia kazi. Hatusikii la mtu, tukiamua tunampa urais EL kumaliza ubishi. Kama ni ufisadi, wote ni mafisadi ila tunamchukua mchapa kazi na mwenye maamuzi magumu ambaye ni EL peke yake ndani ya chama chake.

Time will tell Ndetirima!!!!!!!!!!!!!!!!!! Lets wait and see kwa kuwa uenda Game likaisha kabla ya kuanza.
 
Upuuzi mtupu. Yote uliyoandika ni kama riwaya ya kubuni. Umetumia muda mwingi kuandika bila kuthibitisha madai yako. Tumesubiri idara zinazohusika zichukue hatu dhidi ya tuhuma zake mpaka leo hakuna kinachoendelea. Kumbe tatizo ni utajiri, hata wewe hukatazwi kuwa tajiri. Mtapiga sana kelele lakini mwisho wa ubaya ni aibu. Utajiri wa Lowassa wa kawaida sana kama wanasiasa wengine tofauti na unavyofikiri. Kwani wale wa upande wa pili wenye kumudu kumiliki hadi helkopta wao pesa wamekwiba wapi. Majungu hayajengi.

Pesa bana sabuni ya roho na mtu akinunuliwa ama kama anachakwake ndani huwa na hoja nyepesi kama zako, kwani inawezekana ni "nguruwe na ngiri pori lao moja".Vyombo vya usalama kushindwa kuthibitisha hujuma si hoja ya kuwa mtu yuko SAFI.Vile vile ni majungu haya haya (kama mnavyohita) ndicho chanzo cha ukweli pia.

Kawaida wezi wa mali ya umma huwa wakitajwa tajwa, utasikia kauli zao za kwanza huwa "NI MAJUNGU TU" wakibanwa zaidi "NI VIJICENT TU"kisha "MAHASIMU WANGU KISIASA".Nasema ukweli ni ukweli tu.
 
Tusubiri tuone, maneno mengi hayasaidii na historia huwa inavunjwa pia. Kizazi hiki sio kile cha Mwalimu Nyerere, tunaona mambo na tunayafanyia kazi. Hatusikii la mtu, tukiamua tunampa urais EL kumaliza ubishi. Kama ni ufisadi, wote ni mafisadi ila tunamchukua mchapa kazi na mwenye maamuzi magumu ambaye ni EL peke yake ndani ya chama chake.

Hizi nukuu ambazo zimekuwa mitaani na kokote ENL anakopita kuwa Mwalimu alisema HAFAI,ndio kusema hausiki na zama za Mwalimu?
 
Kitu gani kinakufanya ufikiri hoja zako ni za maana kuliko za wengine.

Naomba nikusahishe sio "za wengine" ila "zako" we Lowassa follower, with clean sentiment of "Edward Ngoyai Lowassa for CCM Chairman-2012" what next?
 
Pesa bana sabuni ya roho!Lakini una hoja pia kwani inawezekana ni "ngurue na ngili pori lao moja".Vyombo vya usalama kushindwa kuthibitisha hujuma si hoja ya kuwa mtu yuko SAFI.Vile vile ni majungu haya haya (kama mnavyohita) ndicho chanzo cha ukweli pia.

Kawaida wezi wa mali ya umma huwa wakitajwa tajwa, utasikia kauli zao za kwanza huwa "NI MAJUNGU TU" wakibanwa zaidi "NI VIJICENT TU"kisha "MAHASIMU WANGU KISIASA".Nasema ukweli ni ukweli tu.
" Mheshimiwa mwenyekiti wakati ukiwa nje ya nchi nilikupigia simu kuhusu uwamuzi wa kuvunja mkataba wa Richmond lakini ulinisihi nisubiri timu ya makatibu wakuu inafanya mchakato, na kila hatua iliyokuwa inafanyika nilikuarifu na unajuwa kila kitu, iweje nitukanwe kwa miezi 7 kuhusu hili? kosa langu ni lipi?"

My take: Rejea repoti ya kamati ya Mwakyembe kwamba walificha baadhi ya mambo ili kuinusuru serikali. Ndugu wana JF hakuna kitu kizuri kama kuwa na fikra huru, kwanza kabisa hapa Ninamshukuru sana Lowasa maana yeye ndio amekisema kile tulichofichwa na wasaliti akina Mwakyembe.

Huu sio muda wa kumjadili Lowasa maana alishawajibika, sasa ni muda muafaka wa JK kuwajibika kwa hili au tumuwajibishe, ni upuuzi na uvivu wa kufikiri kumshikia bango Lowasa eti Fisadi wakati serikali na CCM yote imeoza, rejea sakata la Jairo yale ndio madudu ya kila siku serikalini + chenji ya Rada, mbona siwasikii mkiandaa maandamano Dr Hosea ang'oke?
Acheni uvivu wa kufikiri Great Thinkers.
 
Back
Top Bottom