Mgomo wa madaktari unahusishwa na udini

Status
Not open for further replies.

Pendael laizer

JF-Expert Member
Jan 14, 2012
958
101
Mgomo wa madaktari uliomalizika hapo juma na unaoendeleo hata leo wahusishwa na udini kuwa eti Dr haji mponda anashinikizwa kujiuzulu maana ni muislam na wanasema hawa wanaharakati hawafai maana wanaibua mambo katika sekta ambazo waislam wamezishkilia na wanadai kuwa watakuja hata kumshinikiza rais Jk kujiuzulu manake nchi haita tawalika na wanasema pia waislam wanaonewa sana hata katika elimu manake waziri wa elimu ni mkiristo. Wamesema wanaandaa maandamano makubwa kupinga mgomo wa madaktari na kuwapinga hawa wanaharakati maana watakuja sababisha nchi isitawalike. Source radio imani asubui hii
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom