Pendael laizer
JF-Expert Member
- Jan 14, 2012
- 958
- 101
Mgomo wa madaktari uliomalizika hapo juma na unaoendeleo hata leo wahusishwa na udini kuwa eti Dr haji mponda anashinikizwa kujiuzulu maana ni muislam na wanasema hawa wanaharakati hawafai maana wanaibua mambo katika sekta ambazo waislam wamezishkilia na wanadai kuwa watakuja hata kumshinikiza rais Jk kujiuzulu manake nchi haita tawalika na wanasema pia waislam wanaonewa sana hata katika elimu manake waziri wa elimu ni mkiristo. Wamesema wanaandaa maandamano makubwa kupinga mgomo wa madaktari na kuwapinga hawa wanaharakati maana watakuja sababisha nchi isitawalike. Source radio imani asubui hii