Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
Tunasubiri outcome ya mgomo wa madaktari. Ukifanikiwa kumtoa Mponda na Lucy, utafuatia Mgomo wa wanasheria, wakishinikiza Kombani na Chande wajiuzulu. Wahusika watakuwa majaji, mahakimu na mawakili, agenda yao kuu itakuwa Posho na marupurupu. Ukifanikiwa tu, mgomo wa waalimu kumshinikiza waziri wa Elimu kubwaga manyanga. Baada ya taasisi zote kufuata taratibu hizi, kitakachobaki niku compile taarifa ya kila taasisi na kuungana pamoja, unaanzishwa mgomo wa kwenda kumwondoa Mkulu Magogoni. Pinda is always seems failure. He could have handled this out early in time. Mungu ibariki Tanzania ya watu walio na wasiostaarabika