Mgomo wa madaktari unaendelea; Watanzania tuungeni mkono

sasa mkuu utrapataje huduma toka kwa mtu mwenye njaa arifu? udaktari sio sehemu kama benki au sehemu nyingine....sio sehemu ya kufanya majaribio.......wape chakula ma doc wamuhudumie baba yako....


Pole sana kaka hata mimi ni mwannchi wa kawaida na ndugu zangu wanapata shida sana ur msg is very sentimental
lakini mwishoni umeishia kututukana asante sana mkuu nayapokea matusi yako kwa mikono mitatu

elewa mimi ni kama wewe tu nina haki ya kufanya kazi mahala popote
Na sio kukuganyia wewe kazi bure kwa kuhatarisha hata maisha yetu
njoo basi ujitolee kusafisha mavi mavi na madamu damu na vifaa vya kufanyia kazi huna
Njoo tu usaidie hata kufagia wagonjwa wetu ambao wanakutisha hadi ukiwa
na mgonjwa hospitalini unaogopa kwenda kwani hali yake inaogofya sana

Idai serikali yako ikupatie huduma na sio mtu binafsi nafikiri umeyaona mapungufu
yako ktk kufikiria daktari ni mtu binafsi hawezi kuwa responsible kwa mambo
yako
ni sawa na mimi kudai let say gunia la mchele kwa mtu bure
hakuna hii
Serikali yetu dhalimu inabidi kuipa ms ingawa ki ukweli haiwapendi nyie wananchi wake
kwani tulianza kujadiliana nayo kuanzi mwaka jana mwanzoni lakini ikawa na kiburi

KWA UKWELI WEWE UTAKUWA MPUUZI KAMA UNATULALAMIKIA SISI
SERIKALI WALA HAIWAJALI HATA KIDOGO HUO NDIO UKWELI
 
Wanabodi,

TBC imetangaza taarifa ya baadhi ya madaktari kuitikia wito wa Waziri Mkuu Pinda, na kurejea kazini hii leo asubuhi. Taarifa hiyo imesema huduma katika baadhi ya hospitali za mikoani huduma zimerejea kama kawaida!.

My Take:
Taarifa hii ya TBC imeonyesha ripoti za mikoani tuu na sio za hapa jijini!. Kwa vile hapa jijini ni karibu kuliko mikoani, nilitegemea taarifa ionyeshe matukio ya karibu zaidi hapa jijini kwa hospitali kama Muhimbili, Mwananyamala, Ilala na Temeke, hivyo kitendo cha kuonyesha taarifa za mikoani tuu, kinanishawishi niamini TBC inazo taarifa za karibu, ila ila imeamua kuzichagua zile ambazo imeona zinafaa kwa taifa kutangaziwa!.

TBC ni Serikali, kamwe usitegemee kama TBC watatangaza habari inayopinga Seikali. Ni Sawa na kusoma gazeti la Mzalendo, Uhuru. habari zilizopo humo zote ni "kidumu chama cha mapinduzi" hata kama kinakumbatia mafisadi wao watakwambia ni chama Bora Tanzania.

yaani kama mimi TBC huwa naisikia tu kwani sina muda wa kuangaia Kituo hiki ni sawa kama nilivyokosa nafasi ya kusoma gazeti mzalendo, Uhuru.

Huenda kwa kutangaza hivyo ni ili iwafanye Madaktari walipo hospitali zingine warudi Kazini kwa kufikiria kuwa "Wenzetu wamerudi, ngoja na mimi nirudi"

Hizo ni propaganda sawa na vitani, unakuta mnatangaziwa kuwa mnamshinda adui kumbe askari wenu ndio wanapigwa na kukimbia. wAO KAMA WANAJUA KUFUATILIA HABARI WATUAMBIA HOSPITALI ZA DSM.

MIZAMBWA
INANIUMA SANA
 
mimi nailaumu serekali kwa kuipa pesa makanisa kutoa hoduma hii.

"Bodi ya huduma za Afya ya Kikristo Tanzania ndiyo itakayokuwa na jukumu la msingi la kutoa, kukarabati, kuboresha na kupanua huduma za Afya Tanzania. Inaweza kuajiri wafanyakazi wafaao kwa lengo la kuleta ufanisi mzuri katika usimamizi na kutekeleza majukumu yake ipasavyo. Zaidi ya hayo itajihusisha na ukarabati wa majengo, mitambo na zana mbalimbali".
 
Huyo jamaa ni kiazi sana,hapo walipo wameshapewa bahasha za posho,ndio maana wanaikingia kifua serikali,pambaf zao.

Ni ujinga kabisa na ukosefu wa fikra kutaka mtu akuaminishe kile ambacho hauamini,ndivyo jamaa afanyavyo huyu
 
Apelekwe Daktari yoyote kutoka JWTZ, UwT, POLICE, MAGEREZA,..., ili mradi huduma irejee. Yapo mambo ya kugomea nchi hii lakini sio huduma za afya, maji, umeme, usafiri na usafirishaji. Hizi zinagusa watu wa kawaida sana.
Unapotanguliza maslahi binafsi mbele katika mgomo, Watanzania lazima watakushangaa sana tu kwa kuwa wanateseka zaidi yako wewe unaegomea hicho kidogo unachopata.
Una haki ya kucomente hicho ulichocomment, unaweza kuwa na macho na usione, kuna watu wanafikia hatuwa ya kuziba puwa kwa ndugu zao kutokana na harufu mbaya za vidonda vya wagonjwa wao lakini ma Dr wao wapo na hayo wagonjwa siku zote, sasa wewe saa hizi upo na Computer unapigwa na unyunyu na pop corn na coca cola huwezi kujuwa mazingira magumu wlionayo wezako.
 
Yapo mambo ya kugomea nchi hii lakini sio huduma za afya, maji, umeme, usafiri na usafirishaji. Hizi zinagusa watu wa kawaida sana.
Unapotanguliza maslahi binafsi mbele katika mgomo, Watanzania lazima watakushangaa sana tu kwa kuwa wanateseka zaidi yako wewe unaegomea hicho kidogo unachopata.

POINTLESS!!!!!!!!!

Mbona Wabunge wametanguliza masilahi binafsi hamkusema?????????

Je, Wabunge wanaenda soko lipi na Madaktari wananunua bidhaa soko lipi???

SERIKALI LEGELEGE NI ILE ISIYOWAJALI WANANCHI WAKE!!!!!

MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Mkuu hivi ukimsomesha mtu kwa pesa yako,Hatakiwi kuwa na haki za msingi?yaani hayo maneno mnayatumia kama ngao ya kuikingia kifua serikali,hata hivyo nao ni walipa kodi kama wengine tu,au we hujui kodi zinalipwaje Tanzania?
Kodi tunalipa sisi WANANCHI. Na sisi ndio tunaotibiwa kwenye hospitali hizi za UMMA. Madaktari wetu hawajagoma. Tembelea hospitali binafsi uone wanavyochakalika huko leo. Wanatuongopea kugoma.
 
agizo la waziri mkuu limefuatwa?

Tunawaomba wananchi waendelee kutuunga mkono pia sekta zingine sasa nazo zituunge mkono
wazi wazi hivi ni vita amkeni hii ni saa ya ukombozi hawa wanasiasa inabidi waache kufanya mambo ambao yanahitaji utaalam ambao wao hawana

ninachoweza kusema mbeya, dodoma,mwanza-bmc,na dsm confirmed mgomo unaendelea
tutaendelea kuwajuza maendeleo kwenye territories zetu zingine stay tuned

Kwanza hongereni sana kwa kuianbisha serikali jana. Kitendo cha madaktari kususia kikao cha waziri Mkuu na mawaziri zaidi ya 6 ni uthibitisho kuwa hamna imani na serikali iliyopo madarakani kama mabavyo wananchi mnaowahudumia wasivyokuwa na imani na serikali hii. Tunawaunga mkono 100%. Msirudi nyuma hata kidogo
 
Pole sana kaka hata mimi ni mwannchi wa kawaida na ndugu zangu wanapata shida sana ur msg is very sentimental
lakini mwishoni umeishia kututukana asante sana mkuu nayapokea matusi yako kwa mikono mitatu

elewa mimi ni kama wewe tu nina haki ya kufanya kazi mahala popote
Na sio kukuganyia wewe kazi bure kwa kuhatarisha hata maisha yetu
njoo basi ujitolee kusafisha mavi mavi na madamu damu na vifaa vya kufanyia kazi huna
Njoo tu usaidie hata kufagia wagonjwa wetu ambao wanakutisha hadi ukiwa
na mgonjwa hospitalini unaogopa kwenda kwani hali yake inaogofya sana

Idai serikali yako ikupatie huduma na sio mtu binafsi nafikiri umeyaona mapungufu
yako ktk kufikiria daktari ni mtu binafsi hawezi kuwa responsible kwa mambo
yako
ni sawa na mimi kudai let say gunia la mchele kwa mtu bure
hakuna hii
Serikali yetu dhalimu inabidi kuipa ms ingawa ki ukweli haiwapendi nyie wananchi wake
kwani tulianza kujadiliana nayo kuanzi mwaka jana mwanzoni lakini ikawa na kiburi

KWA UKWELI WEWE UTAKUWA MPUUZI KAMA UNATULALAMIKIA SISI
SERIKALI WALA HAIWAJALI HATA KIDOGO HUO NDIO UKWELI

Nafikiri hayakua malengo yako kumjibu mkuu Yo Yo kwani si yeye alieyasema hayo mkuu Dr Clin
 
Mimi naogopa kwani nasukumwa kuwa huu mwitikio hauna uhalisia. Serikali iache kufanye mambo kwa kukurupuka na pia ianze kuhsehimu taaluma za watu. Nakumbuka Dr. Idrissa Rashidi alitabiri kuwa nchi itaingia gizani - watu wa Serikalini wakambishia sana tena kwa dharau. Leo kiko wapi ... tumeingia gizani na umeme umepanda bei .....

Je, fedha tunazolipa IPTL hata ile mitambi isipozalisha umeme haiwezi kuwalipa madaktari ambao wanaokoa maisha ya watu huku wakihatarisha ya kwao?! MUNGU wabariki viongozi wetu.
 
Unajua hapa hoja sio kwamba tunasapoti serikali isisikize Au kutekeleza matakwa ya madaktari ila Mimi Leo nimeshuhudia ajali ya pikipiki Njia panda ya kwa Dito Yule ni kama baba yangu amegongwa na Canter watu tu wakawaida ambao sio Ma Dr wamejitolea kumsaidia nikiwemo na Mimi ... Sasa Yule Mzee ameaga nakwenda kutafuta riziki lakini safari yake imeishia pale Kwani ameumia vibaya... Sasa pata hiyo picha iwe kwako wewe mpumbavu ambae kwa ushabiki wako tu umeamua kushabikia na kucheza ngoma za watu wengine...


Kwanza kwa taarifa yako these are enjoying a lot of benefits .

Hawa jamaa wanapata Grants na sio mkopo kwahiyo hawalazimiki kulipa
Kama wengine lakini kichekesho ni kwamba Hawa jamaa nao wanadai haki ya kutibiwa nje GrrEEN CARD
Hili nalo linatupa wasiwasi sisi tusiosoma kuwa je hawaamini na kukubali kiwango cha tuba wa agoutis wao wenyewe kiasi cha kutaka nao wakatibiwe nje sasa nyie mnaoshabikia paten picha tu Hawa mnaowaona ni muhimu ni tatizo wao namba moja na serikali ni namba mbili.
 
POINTLESS!!!!!!!!!

Mbona Wabunge wametanguliza masilahi binafsi hamkusema?????????

Je, Wabunge wanaenda soko lipi na Madaktari wananunua bidhaa soko lipi???

SERIKALI LEGELEGE NI ILE ISIYOWAJALI WANANCHI WAKE!!!!!

MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
Hatukusema au haukusikia tuliposema hadi wakakosa raha! Wangegoma WALIMU ningekaa kimya. Sio maDaktari hawa wa Dar wenye ajira nyingi ni miradi kibao ikiwemo kutuibia dawa zetu na kupokea rushwa hata kwa watu masikini kabisa.
 
Hakuna huduma zinazoendelea... baadhi ya madaktari wamerudi ila wamekaa tu wanawaangalia wagonjwa hakuna kinachofanyika, wanaowaudumia wangonjwa ni ma-medical assistance, manurse hata hao machief doctors hawatoe huduma za kawaida wanatoa huduma za dharura, madaktari wameapa kuwa wako tayari kufukuzwa kazi na sio kudharauliwa.
mgomo bado unaendelea....

...Sasa kama wapo tayari kufukuzwa kazi wameripoti hospital kufanya nini, mbwa waoga hubweka sana...
 
Kodi tunalipa sisi WANANCHI. Na sisi ndio tunaotibiwa kwenye hospitali hizi za UMMA. Madaktari wetu hawajagoma. Tembelea hospitali binafsi uone wanavyochakalika huko leo. Wanatuongopea kugoma.

Kwani mtu akimgomea mwajili wake,ndio ashindwe na kufanya shughulu zake binafsi?Dr. Ni mtu binafsi au ni mwananchi kama wewe na sio serikali,hivyo ana haki za kufanya chochote kile ili mladi asivunje sheria,hivyo basi wa kulaumiwa ni serikali sio ma DR.
 
Back
Top Bottom