Narudia tena kuwaomba maDaktari wetu waone wanamgomea nani hasa:
-Yule aliyewasomesha "bure" kwa kodi zake?
-Wamegoma kweli au wako kazini sehemu zingine? Baadhi wana vi-NGO vyao, vi-zahanati vyao, wanalipwa kwa masaa hospitali binafsi..
-Mishahara na mafao yao mengine ni kidogo kuliko watumishi wengine?
-Wameamua kuinufaisha sekta binafsi ya TIBA nchini?
-Yule aliyewasomesha "bure" kwa kodi zake?
-Wamegoma kweli au wako kazini sehemu zingine? Baadhi wana vi-NGO vyao, vi-zahanati vyao, wanalipwa kwa masaa hospitali binafsi..
-Mishahara na mafao yao mengine ni kidogo kuliko watumishi wengine?
-Wameamua kuinufaisha sekta binafsi ya TIBA nchini?