Dr Klinton
Senior Member
- Jan 21, 2012
- 123
- 152
Je agizo la waziri mkuu limefuatwa?
Tunawaomba wananchi waendelee kutuunga mkono pia sekta zingine sasa nazo zituunge mkono
wazi wazi hivi ni vita amkeni hii ni saa ya ukombozi hawa wanasiasa inabidi waache kufanya mambo ambayo yanahitaji utaalam ambao wao hawana
ninachoweza kusema Mbeya, Dodoma, Mwanza-Bmc,na Dsm confirmed mgomo unaendelea
tutaendelea kuwajuza maendeleo kwenye territories zetu zingine stay tuned
10:00hrs
Dodoma leo wamegoma kuendela kwenda kutoa huduma afya bungeni kwaniwabung nao ni watanzania wa kawaida na wamekataa kuongea na naibu waziri wa afya mgomo unaendelea kama kawaida
ila kama kawaida kwa sababu wamiliki media jioni watawaletea propaganda zao
UONGOZI WA SERIKLINI UMEKAA NA WATUMISHI WA AFYA KUJARIBU KUWABEMBELEZA WARUDI KAZINI
KWANI SERIKALI NZIMA SASA IPO DOM TAYARI WA BUNGE
BIG UPDOM JAMAA WAMEGOMA KWENDA KUTIBU BUNGENMI AMBAKO WAKIENDA HUPEWA PERDIEMS
KWA SIKU TEH TEH TEH
12:50pm
Serikali ya kamata viongozi wa madaktari dodoma
Na sasa viongozi wetu hawa hawapatikani kwenye simu zao
Hii baada ya majadiliano kushindwa kufikia muafaka
Amana,Mwananyamala bado ngoma nzito serikali imeanza kutumia nguvu sasa
Bugando, mwananyamala wanafuatwa madaktari na kulazimishwa kusign kwa vitisho!!!
Bugando wamemkata kiongozi mmoja saivi anaandika statement
Madaktari waliolazimishwa kusign wamesign na kuondoka zao
Tunawaomba wananchi waendelee kutuunga mkono pia sekta zingine sasa nazo zituunge mkono
wazi wazi hivi ni vita amkeni hii ni saa ya ukombozi hawa wanasiasa inabidi waache kufanya mambo ambayo yanahitaji utaalam ambao wao hawana
ninachoweza kusema Mbeya, Dodoma, Mwanza-Bmc,na Dsm confirmed mgomo unaendelea
tutaendelea kuwajuza maendeleo kwenye territories zetu zingine stay tuned
10:00hrs
Dodoma leo wamegoma kuendela kwenda kutoa huduma afya bungeni kwaniwabung nao ni watanzania wa kawaida na wamekataa kuongea na naibu waziri wa afya mgomo unaendelea kama kawaida
ila kama kawaida kwa sababu wamiliki media jioni watawaletea propaganda zao
UONGOZI WA SERIKLINI UMEKAA NA WATUMISHI WA AFYA KUJARIBU KUWABEMBELEZA WARUDI KAZINI
KWANI SERIKALI NZIMA SASA IPO DOM TAYARI WA BUNGE
BIG UPDOM JAMAA WAMEGOMA KWENDA KUTIBU BUNGENMI AMBAKO WAKIENDA HUPEWA PERDIEMS
KWA SIKU TEH TEH TEH
12:50pm
Serikali ya kamata viongozi wa madaktari dodoma
Na sasa viongozi wetu hawa hawapatikani kwenye simu zao
Hii baada ya majadiliano kushindwa kufikia muafaka
Amana,Mwananyamala bado ngoma nzito serikali imeanza kutumia nguvu sasa
Bugando, mwananyamala wanafuatwa madaktari na kulazimishwa kusign kwa vitisho!!!
Bugando wamemkata kiongozi mmoja saivi anaandika statement
Madaktari waliolazimishwa kusign wamesign na kuondoka zao