rwamashugi
Member
- Dec 5, 2011
- 48
- 2
Ndugu wana janvi. Mwenye updates za kuanza rasmi kwa Mgomo wa Madaktari atujuze!
Tunakoelekea na mahakama itagomewa kwa imekuwa kisiasa mno!
lini umewahi kuwa na selikali?nimekasirika sana leo. ina maana serikali imeshindwa kulimaliza hili swala???
I can't believe this. Even experimental animals can't be treated like this. It is shocking,,where is our country headings!