Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,410
- 31,395
Hakuna lawama ni ukweli usiohitaji fikra kuwa Rais Kikwete ameshindwa uongozi hadi kufikia watu kupoteza maisha. Ni facts!Haya tumekusikia nenda kachape kazi jenga taifa..
Acha kulaumu JK kila siku, do your part...
Mdrs wameshaelewa walikuwa wamelewa wameelewesha wameelewa..
Nchi hii ina watu mil.40, matatizo lukuku toka enzi ya st. nyerere..
chapeni kazi no easy ride...mshahara na maslahi ni mchakato..go and tell them
Huwezi kujenga taifa ukiwa umelala au ndugu amelala kitandani kwa maradhi.
Matatizo yapo na haionekani kama tunajifunza. Kikwete hajajifunza. Mgomo wa kwanza alikuwa waziri katika serikali ya Mkapa. Hakujifunza lolote, wananchi wanakufa anapaa kwenda Dovos.
Kama niliyoyaandika ni lawama, onyesha wapi namlaumu na si kumwambia ukweli.
Damu ya wananchi itabaki mikononi mwake na legacy yake ni kushindwa kuliongoz taifa! period