Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,468
- 113,583
Wanabodi,
JK ilikuwa akutane na Wazee wa Darisalama siku ya Ijumaa ili kutoa msimamo wake juu ya mgomo wa Madaktari!.
Ijumaa hiyo akaamua kabla hajatoa msimamo, akatumia busara kuwasikiliza hao madaktari, yeye mwenyewe kwa masikioo yake, licha ya taarifa zote alizoletewa na wasaidizi wake na vyombo vyake!. Hivyo akaahirisha kukutana na wazee mpaka Jumatatu, ili kutoa fursa ya mawasiliano zaidi.
Badda ya kuahirishwa ule mkutano wa jana, nilisema hivi
Leo Chama cha Madaktari MAT, kimekutana na kutoa tamko la kuumaliza mgomo wao unconditional!.
Sasa baada ya mgomo huu kumalizika rasmi, jee bado kuna haja ya JK kukutana na Wazee wa Darisalama?.
Mkumbuke taarifa ya madaktari, haukusema, waliongea na rais Ikulu, na hakuna taarifa ya Ikulu kueleza wamekubaliana nini na madaktari, bali ni MAT, ndio wametoa taarifa ya kuumaliza rasmi mgomo huo!. Kwa vile sasa mgomo umeisha, bado kuna haja ya kuendelea kuuzungumzia mgomo huu?.
Ningekuwa mshauri wa JK, ningemshauri hata hiyo Jumatatu, asizungumze na Wazee wa Darisalama, unless alikuwa na mengine ya kuongea nao na sio lazima lihusu huo mgomo wa madaktari!.
Maadam ameonana na madaktari, walichozungumza wanakijua wenyewe, na baadae madaktari wametoa taarifa kusitisha mgomo unconditional, nadhani sasa ni busara, tusiendelee kuuzungumzia mgomo huu ili kuepusha kumtafuta mshindi na mshindwa!.
Uamuzi wa madaktari kusitisha mgomo ni uamuzi wa busara unaopaswa kuungwa mkono na wote wenye mapenzi mema na nchi yetu!. Pia tuchukue fursa hii kuleta umoja na mshikamano, yale makundi yote tuliohasimiana kutokana na mgomo huu kwa baadhi ya wenzetu kuwaunga mkono madaktari na wengine tukipinga, sasa mgomo umeisha, tuwe wamoja tusonge mbele kwa maslahi ya taifa!.
Wasalaam
Pasco.
JK ilikuwa akutane na Wazee wa Darisalama siku ya Ijumaa ili kutoa msimamo wake juu ya mgomo wa Madaktari!.
Ijumaa hiyo akaamua kabla hajatoa msimamo, akatumia busara kuwasikiliza hao madaktari, yeye mwenyewe kwa masikioo yake, licha ya taarifa zote alizoletewa na wasaidizi wake na vyombo vyake!. Hivyo akaahirisha kukutana na wazee mpaka Jumatatu, ili kutoa fursa ya mawasiliano zaidi.
Badda ya kuahirishwa ule mkutano wa jana, nilisema hivi
Wanabodi,
Kwa mliosoma baadhi ya sifa nzuri za JK ni "a good sense of humour", hivyo JK akaamua kuwatafuta madaktari, aka wa 'charm' with a good sense of humour, kina Ulimboka wakalainika, kesho mtashuhudia wakitoa tamko la kuumaliza rasmi mgomo huo bila masharti yoyote!. JK atakapokutana na Wazee hiyo Jumatatu itakuwa ni kuwapatia tuu mrejesho!.
Pasco.
Leo Chama cha Madaktari MAT, kimekutana na kutoa tamko la kuumaliza mgomo wao unconditional!.
Sasa baada ya mgomo huu kumalizika rasmi, jee bado kuna haja ya JK kukutana na Wazee wa Darisalama?.
Mkumbuke taarifa ya madaktari, haukusema, waliongea na rais Ikulu, na hakuna taarifa ya Ikulu kueleza wamekubaliana nini na madaktari, bali ni MAT, ndio wametoa taarifa ya kuumaliza rasmi mgomo huo!. Kwa vile sasa mgomo umeisha, bado kuna haja ya kuendelea kuuzungumzia mgomo huu?.
Ningekuwa mshauri wa JK, ningemshauri hata hiyo Jumatatu, asizungumze na Wazee wa Darisalama, unless alikuwa na mengine ya kuongea nao na sio lazima lihusu huo mgomo wa madaktari!.
Maadam ameonana na madaktari, walichozungumza wanakijua wenyewe, na baadae madaktari wametoa taarifa kusitisha mgomo unconditional, nadhani sasa ni busara, tusiendelee kuuzungumzia mgomo huu ili kuepusha kumtafuta mshindi na mshindwa!.
Uamuzi wa madaktari kusitisha mgomo ni uamuzi wa busara unaopaswa kuungwa mkono na wote wenye mapenzi mema na nchi yetu!. Pia tuchukue fursa hii kuleta umoja na mshikamano, yale makundi yote tuliohasimiana kutokana na mgomo huu kwa baadhi ya wenzetu kuwaunga mkono madaktari na wengine tukipinga, sasa mgomo umeisha, tuwe wamoja tusonge mbele kwa maslahi ya taifa!.
Wasalaam
Pasco.