mwandiga
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 1,506
- 661
Weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!! tena acha kabisa, CHDM noma waliruka hiyo mizizi hapo getini wewe hukuona JK anafanya kitu ambacho sidhani kama kuna rais yeyote aliwahi kufanya, kusaini muswada kuwa sheria tena kwa mbwembwe kisha kuurudisha bungeni kwa marekebisha hata kabla haijatumika na kisha kusema aliogopa shinikizo la wabunge wa CCM ( alisaini kuwafurahisha wana CCM)..Huwa najiuliza hivi pale Ikulu kuna nini, "nna mashaka pale Getini kuna kitu kimewekwa ukiingia tu kutaka kuonana na Baba Riz unalainika". Walianza Chadema na issue ya Katiba wakalainika, leo hii na Madaktari wamelainika.
Kuna nini Ikulu.