John Marwa
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 275
- 28
ni mratibu elimu kata! darasa la nane la zamani!
Mwache huyo kwani wao profesa maji marefu ana elimu gani?
Kama mtu anaitwa Dokita, anahaidi akiwa RaisNonsense! Kwani qualification ya ubunge ni darasa la ngapi?
<br />
<br />
toa pumba zako humu. Pamoja na kwamba elimu siyo kigezo cha kuukwaa ubunge. Hata hivyo Mgombea wa chadema Kashindye angekuwa na kiwango cha Elimu kama unavyodhani wewe, asingeweza kuwa mratibu wa Elimu wa wilaya.
<br />Hakuna cheo kama hicho cha Mratibu Elimu wa Wilaya kuna Cheo cha Afisa Elimu Wilaya na Kuna cheo cha mratibu Elimu wa kata!
<br />Sidhani kama atakuwa amefika hata Form FOUR, kama ndivyo basi atakuwa amepata FOUR.
Rage ninavyo jua mimi ni kwamba hakufungwa kwasababu alipokata rufaa alishinda......kama angetumikia kifungo chake mpaka kikaisha au akatolewa kwa masamaha hiyo hiyo ni bahari nyingine...Mbona Aden Rage Mbunge wa Tabora mjini alishawahi kufungwa jela na akagombea ubunge akashinda mpaka leo ni mbunge
<br />okey tunashukuru! huyu jamaa kumbe anafaa sana alikuwa mratibu wa kampeni za rostam! <br />
hawa wanaojua makosa yao na kutubu tunawahitaji sana chadema!
<br />mboga ccm kuna mganga wa kienyeji alichaguliwa kuwa mbunge ajawai hata siku moja kuchangia.
Anti Ndofu,
Kweli akili yako ni masaburi,halafu jifunze matumizi ya herufi kubwa na ndogo.
Unaandika utadhani mtoto wangu wa mwisho anaesoma kindergarten, angalia profile yangu lini nimejiunga JF, kingine nikuambie nadhani umjui vizuri Ritz. Mimi CCM na CDM wote ni takataka, mimi sio mateka wa Mbowe kama wewe
Wadau naomba mwenye CV ya jembe letu linalotegemewa kuipeperusha bendera ya Igunga kwa tiketi ya CHADEMA atumegee na sisi.
CCM imesheheni wasomi kibao lakini jee wamelifanyia nini taifa hili zaidi ya kutufukarisha na kutulaza gizani miaka 50 baada ya uhuru. Hata wewe kama umesoma na una akili magando kiasi hicho huna faida yoyote. Na jua utashuka na kingeledha chako ukiamini huo ndiyo usomi. Usomi si kwenda shule peke yake bali usomi ni kuelemika.
Ufukara wako ni uzembe wako. Ni wapi na saa ngapi CCM walikunyima fursa ya kujiendeleza?