<br />Mgombea wa CHADEMA Igunga anaitwa Mwalimu Joseph Mwandu Kashindye, ni mratibu wa elimu wilaya Igunga. Ni mkaaji wa Igunga, mwenye kujua matatizo ya wanaigunga, pamoja na matatizo ya walimu na wanafunzi kwa ujumla.
<br />
acha uongo kashindye ni muhamiaji aliyehamia igunga kwenda kufanya kazi akitokea igunga.