Wanitakiani
JF-Expert Member
- Apr 18, 2008
- 641
- 135
Akili za namna hii lazima ziwe zimechanganyika na haja kubwa.
Hahahaaaaaa............!!!!!!!!!!!! Hii kali wallah!
Akili za namna hii lazima ziwe zimechanganyika na haja kubwa.
Vipi ritz jana hukuonekana kabisa nafikiri ulistushwa na habari za rafiki wa dingi maisha ndivyo yalivyo mwambie dingi naye ajiandae kwani mwisho hautabiriki ukizingatia afrika tunakoelekea upepo hauko upande wa watawala, msalimie Saif Al Islam nimemwona jana bado ana dunda mitaani.Jamaa mmoja anaitwa Kashidye, rafiki mkubwa wa Rostam Aziz, alikuwa mratibu wa kampeni za Rostam Aziz, vipindi vyote alivyokuwa anagombea Ubunge Igunga
<br />Inaelekea Debate za kiingereza zilikuingia sana wewe kule skonga, hadi ukaendelea kubukua dictionary hadi sasa uraiani. You dont communicate, kwa sababu unatumia lugha isiyo communicative. Au unafikiri kila mtu anajisomea dictionary kama wewe? Au unafikiri kila mtu anao muda wa kupekua dictionary kutafuta hivyo vineno vyako? Mwisho wa siku hauwasilishi ulichokusudia. Ungeendelea na shule kidogo ungeelewa ninachokisema, lakini bahati mbaya huwezi kunielewa. Ningewashauri wakuu wote mpotezeeni huyu mtu, msirespond kwa post zake. Wakipatikana na wengine kama huyu basi tutamshauri MOD aanzishe jukwaa la english debates (kama itawezekana) ili wakaendeleze english course yao wanayoimiss, watuachie sisi jukwaa letu tuendeleze hoja tukitumia communication zetu.
<br /><br /><br />
<br /><br />
acha komedi kaka. Bilali gavana ametuliza na elimu yake kubwa
Exactly, uko sahihi kabisa.<br />
<br />
acha uongo kashindye ni muhamiaji aliyehamia igunga kwenda kufanya kazi akitokea igunga.
<br />
<br />
Mtoa mada aliomba kujua CV ya mgombea ubunge wa Igunga kwa tiketi ya Chadema na nadhani nimemjibu swali lake kwa kiasi. Ingawa sina uhakika juu ya points zake, lakini ni kweli huyu jamaa alipata FOUR form FOUR kama ambavyo Sugu na wengine waliambulia. Sasa kama unajua matokeo yake yapo tofauti basi yatoe, vinginevyo utakuwa unanijengea hoja tu.
Nafikiri rudi tena kwa mganga wako akazirekebishe kama bado yupo, alikudanya utapata one ulipopata FOUR akili zikaruka kila unayekutana naye unadhani alipata FOUR form FOUR, hata mkeo akikuuliza baba watoto leo umetuletea nini FOUR form FOUR..lione kwanza bichwa kubwa..Mtoa mada aliomba kujua CV ya mgombea ubunge wa Igunga kwa tiketi ya Chadema na nadhani nimemjibu swali lake kwa kiasi. Ingawa sina uhakika juu ya points zake, lakini ni kweli huyu jamaa alipata FOUR form FOUR kama ambavyo Sugu na wengine waliambulia. Sasa kama unajua matokeo yake yapo tofauti basi yatoe, vinginevyo utakuwa unanijengea hoja tu.
okey tunashukuru! huyu jamaa kumbe anafaa sana alikuwa mratibu wa kampeni za rostam!
hawa wanaojua makosa yao na kutubu tunawahitaji sana chadema!
jamani hoja iliyombele yetu ni kuwa; mtoa hoja anataka kujua jina kamili na CV ya mgombea ubunge jimbo la Igunga kupitia ticket ya chdema! kwahiyo tunaomba mtu mwenye majibu sahihi atjuze! badala ya kuweka malumbano yasiyo na tija!!!!!!!!!!! mwita25 anatueleza habari ya 'division four' hii siyo maana ya CV! halafu division 4 ndio walimu wetu hao wafundishao watoto wetu kwa hiyo hii c hoja hapa; hoja tunataka cv anayejua atueleze!Hahahaaaaaa............!!!!!!!!!!!! Hii kali wallah!
Sidhani kama atakuwa amefika hata Form FOUR, kama ndivyo basi atakuwa amepata FOUR.
Jamaa mmoja anaitwa Kashidye, rafiki mkubwa wa Rostam Aziz, alikuwa mratibu wa kampeni za Rostam Aziz, vipindi vyote alivyokuwa anagombea Ubunge Igunga
<br />
<br />
Mtoa mada aliomba kujua CV ya mgombea ubunge wa Igunga kwa tiketi ya Chadema na nadhani nimemjibu swali lake kwa kiasi. Ingawa sina uhakika juu ya points zake, lakini ni kweli huyu jamaa alipata FOUR form FOUR kama ambavyo Sugu na wengine waliambulia. Sasa kama unajua matokeo yake yapo tofauti basi yatoe, vinginevyo utakuwa unanijengea hoja tu.
Ninasikitika saana kwa jinsi ulivyorespond, shule si uongozi na wala utatuzi wa matatizo ya wananchi, hauhitaji kuwa na shule kubwa saana na ndo maana sifa za kuwa mbunge ni kuwa na uwezo wa kusoma na nyingine km hizo ambazo huyu muheshimiwa mtarajiwa atakuwa nazo. Kuna viongozi duniani hawakusoma lakini leo ni fahari ya dunia, km Lula da Silva aliyekuwa rais wa Blazil hakusoma lakini unaona katika kipindi chake cha uongozi tumeona brazili imepata heshima kubwa saana kiuchumi, kuliko hata hapa kwetu ambapo tuna rais ambaye eti ni doctorSidhani kama atakuwa amefika hata Form FOUR, kama ndivyo basi atakuwa amepata FOUR.
Jamaa kumbe kaishawahi kwenda jela kwa wizi?nyongeza..alifukuzwa kazi na RA baada ya kupatikana na hatia ya wizi wa kutumia mizani dhidi ya wakulima wa pamba wa kijiji cha Ukenyenge alikofanya kazi ya kununua pamba kwa siri. Alihukumiwa miezi sita jela kwa kosa hilo na kutumikia kifungo chake kwenye jela iitwayo Mumbu na baada ya kutoka kifungoni alijiunga na CDM.
nyongeza..alifukuzwa kazi na RA baada ya kupatikana na hatia ya wizi wa kutumia mizani dhidi ya wakulima wa pamba wa kijiji cha Ukenyenge alikofanya kazi ya kununua pamba kwa siri. Alihukumiwa miezi sita jela kwa kosa hilo na kutumikia kifungo chake kwenye jela iitwayo Mumbu na baada ya kutoka kifungoni alijiunga na CDM.
Hujamjibu mtoa mada (thread), kweli wewe ni kibaraka wa CCM, lol.Sidhani kama atakuwa amefika hata Form FOUR, kama ndivyo basi atakuwa amepata FOUR.