matokeo halisi cdm 401 ccm 129 tlp 2!
mbunge wenu Asumpta hajaweka sahihi hivyo anaunga mkono ubadhilifu na ufisadi selikalini muulizeni.Baada ya kuhairisha uchaguzi mdogo wa mwenyekiti wa kijiji cha bulfani wilaya misenyi,leo uchaguzi umefanyika na Chadema imechukua kiti hicho kwa kura 400 na CCM 100.KWA UFUPI WATU WAKO barabarani .peoples poweeeer.tulianza na mungu +tumemaliza na mungu