Wapi Ritz,Rejao,Kimbunga and the like?
Wamevikimbia vivuli vyao mkuu.Wapi Ritz,Rejao,Kimbunga and the like?
mbunge wenu Asumpta hajaweka sahihi hivyo anaunga mkono ubadhilifu na ufisadi selikalini muulizeni.
Kumbe TLP bado ipo, hii indicator inatosha kabisa kuionyesha CCM kule tunakoelekea, lakini ndugu zangu kina Nape na Mukama ndio kwanza wanasema CCM inaimarika, anyway ngoja tusubiri maajabu labda kwa vile wao ni wanamazingaombwe kama Mwanakijiji anavyosema.matokeo halisi cdm 401 ccm 129 tlp 2!
Mgombea wa chama cha chadema amemshinda mgombea wa magamba katika uchaguzi wa mwkt wa kijiji cha bulifani wilaya ya misenyi mshindi anaitwa deo kahwa.
HODI WENYEWE?
Mimi mgeni lakini wakati nasubiri kukaribishwa napenda kumpongeza bwana Kahwa
matokeo halisi cdm 401 ccm 129 tlp 2!