Haya ya kila mgombea kujitegemea tutafika kweli? Chadema wangepata jinsi ya kupanga vipaumbele na kusaidia kuwezesha majimboni, sasa kama hakuna uwakilishi wa uhakika unafikiri nani atalinda kura za mgombea wenu wa Uraisi?
Marehemeu Chacha Wangwe alilisemea hili la kuimarisha chama mikoani lakini hakusikilizwana na mzimu wake utaendelea kuwasuta!
Marehemeu Chacha Wangwe alilisemea hili la kuimarisha chama mikoani lakini hakusikilizwana na mzimu wake utaendelea kuwasuta!