Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,594
- 29,710
hahaha hahaha waziiiimu mtupu.Sikonge leo nilikuwa sijacheka lakini hii video imenifanya nicheke sana, mama uvumilivu umemshinda.
nadhani hata mwenyewe akiiona atapasuka mbavu na kudondoka tena
hahaha hahaha waziiiimu mtupu.Sikonge leo nilikuwa sijacheka lakini hii video imenifanya nicheke sana, mama uvumilivu umemshinda.
Ni bora nikishindwa kabisa kuvumilia kukaa Chadema nitarudi kijiweni kuishi bila chama kama nilivyowahi kuwa huko nyuma, maana siamini kama kuna chama makini na cha hakika ingawa bado kichanga kama Chadema.njoo CCM kimbilio la kweli la wanyonge
Ameshakula vya watu na sasa amekubali na yeye aliwe kidogo.
Maadamu mwaka huu Dr. Slaa anashinda, jamaa ndiyo wiiiii (ile ya JKT).
Mh hii kali !CCM wamefika dau?
Kama kajitoa mimi sioni shida , the ball is rolling already chadema wateue kada aende akaendeleze vuguvugu la wanaharakati walioitikia wito wa Dr.Slaa kwa kumpigia debe Dr. NA PIA KURA ZA ubunge ziende CUF na za madiwani ziende chadema just a simple linear equation to be solved.
Napendekeza zitto na shibuda waende just for three consecutive days, mambo yakuwa sawa tu.Tumewashika hao SISIEMUUU
Nadhani huyo mpiga mziki amekosa sababu ya kushawishi umma kwa kujiondoa kwake.kwani alivyoingia kwenye kinyang'anyiro aliambiwa atapewa ela?au aliingia kutafuta ela za CCM Wanazotoa kwa wagombea wa vyama vya upinzani ili wajitoe na kuwaacha wakiwa hawana wapinzani.Hata ccm wagombea hawajapewa ela pamoja na kuchangisha 50 bn.njaa itatumaliza
Hivi ninyi watu wa CCM mmesahau mlifikaje hapo mlipo? Mbona leo mnanyea kaburi la muasisi wenu?Mi nilishasema tangia awali. Chadema hamko serious. Mnabisha. Sasa kweli Chama ambacho kinataka kipewe nchi hawawezi hata kujipanga kuchagua wagombea wa ukweli. Watu wanawasikiliza, wanaingia kundini, baada ya kuona incompetence ya Mbowe jinsi anavyoendesha chama. Tartiibu wanakula kona. Its unfortunate, lakini as of now--hamko serious.
Sababu kubwa ya kujitoa ni kuwa Chama makao makuu kimeshindwa kutoa fungu la kumwezesha kufanya kampeini badala yake amekuwa akitumia fedha zake
Nadhani huyo mpiga mziki amekosa sababu ya kushawishi umma kwa kujiondoa kwake.kwani alivyoingia kwenye kinyang'anyiro aliambiwa atapewa ela?au aliingia kutafuta ela za CCM Wanazotoa kwa wagombea wa vyama vya upinzani ili wajitoe na kuwaacha wakiwa hawana wapinzani.Hata ccm wagombea hawajapewa ela pamoja na kuchangisha 50 bn.njaa itatumaliza
Nafikiri hata kugombea aliomba mwenyewe hakulazimishwa na mtu hiyo ndiyo demokrasia simlaumu waliobaki wataliendeleza libeneke, hata hivyo toka mwanzo alionyesha hali hiyo.
wangeapata japo theluthi ya hela za EPA ili tatizo lisingekuwa tatizo hata kidpgo kwa CHADEMA, wangejiachia na kuwapa ruzuku za kutosha wagombea wake bila kusita.Mi nilishasema tangia awali. Chadema hamko serious. Mnabisha. Sasa kweli Chama ambacho kinataka kipewe nchi hawawezi hata kujipanga kuchagua wagombea wa ukweli. Watu wanawasikiliza, wanaingia kundini, baada ya kuona incompetence ya Mbowe jinsi anavyoendesha chama. Tartiibu wanakula kona. Its unfortunate, lakini as of now--hamko serious.