Huyu anafaa atundikwe tairi na achomwe moto iwe fundisho kwa wengine.
Pesa si zinatumwa chuoni? Atazichukuaje wakati zikifika chuoni wanaingiziwa wanafunzi kwenye account zao.
Kwa Tanzania taasisi karibu zote zinakosa kitu kinachoitwa BUSINESS ETHICS vinginevyo madudu kama haya hayawezi kutokea, Mfano kama utaratibu ni pesa anaingiziwa mwanafunzi kwenye akaunti yake, na inafanyika hivyo hakuna mtu anaweza kufoji majina 91 ya benk akaunti
Anzeni na wale wa EPA,Richmond,Dowans,Rada kisha mmalizie hao dagaa,mafisadi papa ndo itafaa kuanza nao,mbona mnataka kuanza na huyu,kama mmebadilika na kuachana na ufisadi kweli anzeni na hao niliokutajia,bila hivyo nitaendelea kuamini ya kuwa CCM ni chama cha kufuga na kukumbatia MAFISADI
Ana akili sana sasa anaona wenzie wanakula tuuuu bila yeye kupata mgao. Safi sana
Fisadi kama huyo dawa yake ni KUNYONGWA hadi kifo.
alisoma Taqwa secondary schoolplease.naomba jina la Mtuhumiwa,alisoma wapi
Kesi imeisha na hukumu ni: TUME
Anzeni na wale wa EPA,Richmond,Dowans,Rada kisha mmalizie hao dagaa,mafisadi papa ndo itafaa kuanza nao,mbona mnataka kuanza na huyu,kama mmebadilika na kuachana na ufisadi kweli anzeni na hao niliokutajia,bila hivyo nitaendelea kuamini ya kuwa CCM ni chama cha kufuga na kukumbatia MAFISADI
Huyu anafaa atundikwe tairi na achomwe moto iwe fundisho kwa wengine.
hukumu ya mwizi kwa mujibu wa iman ya din yako inasemaje?
alisoma Taqwa secondary school
Mwizi anakatwa mkono, fisadi anauliwa. Huyo kapita kiwango cha wizi ni fisadi.
Maleria Sugu,acha chokochoko za udini bhana,am a muslim cpend haka ka'tabia,mbona waislam wengi wanapga sala 5 na wanakwapua mali?