Mfanyabiashara Said Mohammed Saad wa Home Shopping Center (GSM Foundation)

Kweli watanzania tuamke
tuhuma huchunguzwa na kufikishwa kwenye vyombo vya kisheria
wanaotuhumiwa hujitetea...ikionekana ni uzushi basi wamepona; ikionekana si uzushi ni kweli...waadhibiwe ili liwe fundisho kwa wengine. ...kila mtu ataogopa kuchezea mali ya umma; kuiba mali ya umma; kuhujuhu uchumi; kukwepa kodi.....waovu na mafisadi ni wachache katika jamii....walio wengi ni masikini....(masikini waungane kutafuta haki yao dhidi ya wahujumu uchumi)

azimio la arusha ni ukombozi pekee dhidi ya wahujumu uchumi

AZIMIO LA ARUSHA HILI HAPA.....DAWA YA WAHUJUMU UCHUMI, MAFISADI, WEZI, WAKWEPA KODI, NA KILA AINA YA UOZO KATIKA JAMII (JISOMEE).....TUNAWEZA KULIHARIRI AZIMIO ILI LIKIDHI MUKTADHA WA SASA WA TANZANIA KWA MFANO: LILIPOANDIKWA LILIZINGATIA CHAMA KIMOJA...SASA TUNA VYAMA VINGI TANGU 1992. KWA HIYO TUNAWEZA KULIBORESHA AZIMIO HILI ILI LITUONGOZE KUKABILIANA NA WAHUJUMU UCHUMI......SIO WENGI NI WACHACHE KATIKA JAMII YETU

SEHEMU YA TANO
AZIMIO LA ARUSHA
Kwa hiyo basi, Halmashauri Kuu ya Taifa iliyokutana katika
Community Centre ya Arusha kuanzia tarehe 26/1/67 mpaka
29/1/67, inaazimia ifuatavyo:-


A. VIONGOZI
1. Kiongozi wa TANU au wa Serikali sharti awe mkulima au
mfanyakazi na asishiriki katika jambo lo lote la kibepari au
kikabaila.
2. Asiwe na hisa katika makampuni yo yote.
3. Asiwe mkurugenzi katika kampuni ya kikabaila au kibepari.
4. Asiwe na mishahara miwili au zaidi
5. Asiwe na nyumba ya kupangisha.
6. Viongozi tunaofikiria hapa ni wajumbe wa Halmashauri Kuu
ya Taifa, Mawaziri, Wabunge, Wakuu wa Vyama
vilivyoshirikishwa na TANU, Wakuu wa Mashirika ya
34
Kiserikali. Viongozi kutokana na kifungu cho chote cha
Katiba ya TANU, Madiwani, na Watumishi wa Serikali wenye
vyeo vya kati na vya juu. (Kwa mujibu wa kifungu hiki
kiongozi ni mtu au mtu na mkewe au mke na mumewe).


B. SERIKALI NA VYOMBO VINGINE
1. Inaipongeza Serikali kwa hatua zote ilizokwisha chukua
mpaka hivi sasa katika kutimiza siasa ya Ujamaa.
2. Inaihimiza Serikali, bila kungojea Tume ya Ujamaa, ichukue
hatua zaidi za kutimiza siasa yetu ya Ujamaa kama
ilivyoelezwa katika Tamko la TANU juu ya Ujamaa.
3. Inahimiza Serikali kutengeneza mipango yake kwa
kutegemea uwezo wa nchi hii kuiendesha mipango hiyo na
wala isitegemee mno mikopo na misaada ya nchi za
ng'ambo kama ilivyofanya katika mpango wa maendeleo ya
miaka mitano. Halmashauri Kuu ya Taifa inaazimia mpango
huo urekebishwe ili ulingane na siasa ya kujitegemea.
4. Serikali ione kuwa mapato ya wafanyakazi nje ya Serikali
hayapitani mno na yale ya wafanya kazi Serikalini.
5. Serikali itilie mkazo sana njia za kuinua maisha ya wakulima.
35
6. Inahimiza NUTA, Vyama vya Ushirika, TAPA, UWT, TYL.,
mashirika yote ya Serikali, kuchukua hatua ili kutekeleza
siasa ya Ujamaa na Kujitegemea.


C. UANACHAMA
Wanachama wafundishwe kwa ukamilifu imani ya TANU ili
waielewe, na wakumbushwe wakati wote umuhimu wa kuishika
imani hiyo.
 
Jamani mimi nimefanyakazi home shopping, huyo unayemsema sio saidi ni mdogo wake anaitwa gharib na rafiki sana na riz1, na huyo dada yake sio salha ni mwingine. Anamharibia sana kaka ake said jamani
 
dah! nimejaribu kusoma kwa kina... naona ukweli upo! Mdau kabla hujacomet jaribu kusoma tena..
 
Anayebisha aje na ukweli tofauti asibishe kwa minajili ya kunisha pangua hoja kwa hoja basi hauzi madawa aliraise vip mtaji wake mpaka akaweza miliki mijengo 6 kkoo?!
 
Anayebisha aje na ukweli tofauti asibishe kwa minajili ya kunisha pangua hoja kwa hoja basi hauzi madawa aliraise vip mtaji wake mpaka akaweza miliki mijengo 6 kkoo?!

Jengo lake la kwanza lilikuwa si lake bali la tajiri mmoja Mzee wa huko kwao umahara ambae Saidi aliweza kumkinaisha na huyo mzee aka invest, hicho ndio kilikuwa chanzo cha utajiri wake, kwani huyo Mzee alimwachia Saidi awe msimamizi mkuu wakati mwenyewe alikuwa haishi nchini.

Kuwa tajiri si lazima uuze madawa ya kulevya, fursa za kufanya fedha za kihalali ni nyingi sana Tanzania kuliko nchi nyingi duniani.
 
Jengo lake la kwanza lilikuwa si lake bali la tajiri mmoja Mzee wa huko kwao umahara ambae Saidi aliweza kumkinaisha na huyo mzee aka invest, hicho ndio kilikuwa chanzo cha utajiri wake, kwani huyo Mzee alimwachia Saidi awe msimamizi mkuu wakati mwenyewe alikuwa haishi nchini.

Kuwa tajiri si lazima uuze madawa ya kulevya, fursa za kufanya fedha za kihalali ni nyingi sana Tanzania kuliko nchi nyingi duniani .
Watu waliotembea na kuishi kwenye mifumo mingi duniani wanajua kuwa Tanzania kuna opportunities ambazo hazipatikani kwingine. Kuna watu wakiona maghorofa Ulaya wanadhani ndio kuna opportunities, kumbe hawajui hata Mohammed Dewji maisha ya Marekani yalimuwia magumu akarudi Tanzania kufanya biashara na kuwa bilionea. Watu wanadhani kulalamika ndio faraja ya umasikini wao, badala ya kumake use of opportunities zilizowazunguka...
 
Sasa Kwanini tunashirikiana na Wafanyabiashara wa KIARABU ambao wanatuibia NYARA za Serikali? Zamani walikuwa hawadhubuti kufika Tanzania; Inakuaje sasa hivi? na Wakifanya VITU kama HIVYO HUKO SAUD ARABIA WANANYONGWA
 
Watu waliotembea na kuishi kwenye mifumo mingi duniani wanajua kuwa Tanzania kuna opportunities ambazo hazipatikani kwingine. Kuna watu wakiona maghorofa Ulaya wanadhani ndio kuna opportunities, kumbe hawajui hata Mohammed Dewji maisha ya Marekani yalimuwia magumu akarudi Tanzania kufanya biashara na kuwa bilionea. Watu wanadhani kulalamika ndio faraja ya umasikini wao, badala ya kumake use of opportunities zilizowazunguka...

Nakubaliana na wewe 100%, Hata Saidi anaeongelewa hapa kisha ishi nyingi nje akifanya kazi mbali mbali, nizijuazo ni pamoja na Yemen, Saudi Arabia na USA. Ni uhakika "exposure" ilimpa fursa ya kuona opportunities zilizopo Tanzania.

Vijana msikate tamaa na msifanye haraka, mnatakiwa mjipange na mzione fursa zilizopo. Ujasiriamali wa aina yeyote ile ndio chanzo kikuuu cha kutokea. Cha pili ni ustahamilivu na ubunifu.
 
Nakubaliana na wewe 100%, Hata Saidi anaeongelewa hapa kisha ishi nyingi nje akifanya kazi mbali mbali, nizijuazo ni pamoja na Yemen, Saudi Arabia na USA. Ni uhakika "exposure" ilimpa fursa ya kuona opportunities zilizopo Tanzania.

Vijana msikate tamaa na msifanye haraka, mnatakiwa mjipange na mzione fursa zilizopo. Ujasiriamali wa aina yeyote ile ndio chanzo kikuuu cha kutokea. Cha pili ni ustahamilivu na ubunifu.
Faiza unajua mimi ndio maana nilikumiss. By the way, lile darasa la kiingereza itabidi tufikirie kulianzisha tena hapa JF since umerudi...
 
Nakubaliana na wewe 100%,
Hata Saidi anaeongelewa hapa kisha ishi nyingi nje akifanya kazi mbali
mbali, nizijuazo ni pamoja na Yemen, Saudi Arabia na USA. Ni uhakika
"exposure" ilimpa fursa ya kuona opportunities zilizopo Tanzania.

Vijana msikate tamaa na msifanye haraka, mnatakiwa mjipange na mzione
fursa zilizopo. Ujasiriamali wa aina yeyote ile ndio chanzo kikuuu cha
kutokea. Cha pili ni ustahamilivu na ubunifu.

ubilionea hauji kutokana na ujasiriamali tu. kuna umafya unahitajika pia.
 
Majungu tuu na fitina ilovuka mipaka! Kama una ushahidi kwa nini usipeleke kunapohusika ili hatua za isheria zikafuatwa au unatumiwa na mshindani wake wa kibiashara?

huu ushahidi hata hapa ni mahala pake ni jukum la vyombo vya usalama kufanyia kazi hii taarifa. Hata cia wakatimwingine hutumia source za fesibuku na kuzifanyia kazi. Ila vyombo vyetu vya usalama hata ukivipelekea ushahidi hauwezi kufanyiwa chochote badala yake jina lako hupelekwa kwa mtuhumiwa
 
Nakubaliana na wewe 100%, Hata Saidi anaeongelewa hapa kisha ishi nyingi nje akifanya kazi mbali mbali, nizijuazo ni pamoja na Yemen, Saudi Arabia na USA. Ni uhakika "exposure" ilimpa fursa ya kuona opportunities zilizopo Tanzania.

Vijana msikate tamaa na msifanye haraka, mnatakiwa mjipange na mzione fursa zilizopo. Ujasiriamali wa aina yeyote ile ndio chanzo kikuuu cha kutokea. Cha pili ni ustahamilivu na ubunifu.

Endelea kujidanya tu eti ujasilia mali mbona le mutuz kaish sana nje lkn bado anakaa kwa baba? Huyo unamtetea ni more than mafioso wa colombia.
 
Watu waliotembea na kuishi kwenye mifumo mingi duniani wanajua kuwa Tanzania kuna opportunities ambazo hazipatikani kwingine. Kuna watu wakiona maghorofa Ulaya wanadhani ndio kuna opportunities, kumbe hawajui hata Mohammed Dewji maisha ya Marekani yalimuwia magumu akarudi Tanzania kufanya biashara na kuwa bilionea. Watu wanadhani kulalamika ndio faraja ya umasikini wao, badala ya kumake use of opportunities zilizowazunguka...

Kiongozi ulipitia vizuri ile habari ya mo forbes? Kuna sehemu alisema alikopa 1mil usd mwaka 99{takribani 1.3bilion},fedha za baba nayo ni fursa?
 
Back
Top Bottom