mazuri walofanya mbona hayajasemwa?
Wakulaumiwa ni vyombo vyetu vya usalama, viko weak kiasi jamaa ya aina hii wanaweza kufanya watakalo.
Tusipo badili mfumo wa utawala basi tutegemee mazalio mengi ya aina hii.
Wakulaumiwa ni vyombo vyetu vya usalama, viko weak kiasi jamaa ya aina hii wanaweza kufanya watakalo.
Tusipo badili mfumo wa utawala basi tutegemee mazalio mengi ya aina hii.
Wakulaumiwa ni vyombo vyetu vya usalama, viko weak kiasi jamaa ya aina hii wanaweza kufanya watakalo.
Tusipo badili mfumo wa utawala basi tutegemee mazalio mengi ya aina hii.
MkuuUmeongea mengi sana kuhusu Said kuna ya ukweli kuhusu majengo lakini mengine naona una sababu zako binafsi...halafu ilo ghorofa unalosema lipo Swahili na Udoe sio Swahili na Msimbazi Mbona huyo RPC wa siku nyingi sana mkuu.
Mkuu kama mzalendo na unapenda nchi yako kwa nini huu ushahidi wako usipeleke polisi.
sijui ni kwanini kuna baadhi ya watz wanapenda kunyanyaswa na wageni??? ngoja siku aingie kwenye anga zangu, wahindi wananijua.....Huyu bwana bado tu anadunda mtaani-hivi uchafu kama huu kwa mtanganyika kama mimi mweusi unaweza kuufanya Yemen au sehem nyingine/na ukawa bado upo tu-kama si kiuwa na viongozi wabovu kwenye kila sekta hapa nchini
ni ajabu kwa wagen kuleta zengwe kwa indigenous-hata hao indigenous wanaoteswa ni wajingasijui ni kwanini kuna baadhi ya watz wanapenda kunyanyaswa na wageni??? ngoja siku aingie kwenye anga zangu, wahindi wananijua.....
Polisi gani unaozungumzia hapa??? Interpol au!!??Umeongea mengi sana kuhusu Said kuna ya ukweli kuhusu majengo lakini mengine naona una sababu zako binafsi...halafu ilo ghorofa unalosema lipo Swahili na Udoe sio Swahili na Msimbazi Mbona huyo RPC wa siku nyingi sana mkuu.
Mkuu kama mzalendo na unapenda nchi yako kwa nini huu ushahidi wako usipeleke polisi.
Shughuli pevu iyo! Kwa mantiki nyingine HSC ni biashara anayoitumia kusafisha hela sio?
Je records zake zinasema hana mkopo benki yoyote?
Mtaji wa biashara yake ambayo inaonekana ni legit, ambayo ni HSC alipata wapi?
Idara za juu za TISS zinampango gani na mtu huyu?
Nzowa anasemaje pia?
Kweli Tanzania ni zaidi ya uijuavyo, ila za mwizi arobaini, lazma atanasa tu siku moja!
Majungu tuu na fitina ilovuka mipaka! Kama una ushahidi kwa nini usipeleke kunapohusika ili hatua za isheria zikafuatwa au unatumiwa na mshindani wake wa kibiashara?
Umeongea mengi sana kuhusu Said kuna ya ukweli kuhusu majengo lakini mengine naona una sababu zako binafsi...halafu ilo ghorofa unalosema lipo Swahili na Udoe sio Swahili na Msimbazi Mbona huyo RPC wa siku nyingi sana mkuu.
Mkuu kama mzalendo na unapenda nchi yako kwa nini huu ushahidi wako usipeleke polisi.
U so deep man, umemuanika jamaa live bila chenga chaajabu serikali inamjua, Kikwete alipewa list ya wauza unga na huyu akiwa mmoja wao ila bado hamna kinachofanyika.