kitali
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 3,924
- 6,242
Kifo cha Mama aliguswa mzee usiongee. Mzee alichanganyikiwa full na kila kitu kilianza kwenda mrama baada ya pale maana mama ndio alikuwa kila kitu kwakeHata kwenye msiba wa mkewe yalizungumzwa mengi na hakuoneka kuguswa kabisa na kifo cha huyo Mama.