balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 14,608
- 12,786
Mbona malebo mwenyewe kachokaHuyo Malebo nilimuona Youtube yupo kijijini huko Maeneo ya Moshi. GUGU utamuona na kumsikia akisimulia kisa Chache yeye mwenyewe
Mbona malebo mwenyewe kachokaHuyo Malebo nilimuona Youtube yupo kijijini huko Maeneo ya Moshi. GUGU utamuona na kumsikia akisimulia kisa Chache yeye mwenyewe
Bangi ,sigara na bia za enzi zake,ulitaka asichokeMbona malebo mwenyewe kachoka
Ile boda haijawahi ishiwa magendo,toka enzi za kuingiza bia za tusker na plisner, wakahamia kwenye sabuni na mafuta ya taa na ya kula (bidco) na sasa ni mwendo wa bati na cement maana bati ya kenya ni bei rahisi na haipauki, cemnt pia ni buku 12 tu za k i tz. Wakati ya bongo ni 18Romeo,useri karibia na mpaka wa Kenya...watu wengi kule ni ujambaz,magendo hiyo ni asili yao
Ova
Watu wanaokoka mali za watu hawarudishi 😄Bro humjui huyo mzee. Nenda mahakama ya ardhi pale kinondon ulizia ana kesi ngapi za kudhulumu ardhi. Pale mbezi kamdhulumu mama mmoja mjane mpaka amekufa juz juz hajapata haki yake. Ninachosema umeokoka tangaza kama kuna mtu nimemdhulumu au kumuibia aje nimrudishie chake Mzee. hakuna Mungu anaeibia watu haki zao . Mali nyingi kaachia kanisa acheni utan nyie. Kaachia taasisi au kanisa? Mzee mpaka kisukar kinamzidia alikuwa anawadhulum watu.
Kule hatariIle boda haijawahi ishiwa magendo,toka enzi za kuingiza bia za tusker na plisner, wakahamia kwenye sabuni na mafuta ya taa na ya kula (bidco) na sasa ni mwendo wa bati na cement maana bati ya kenya ni bei rahisi na haipauki, cemnt pia ni buku 12 tu za k i tz. Wakati ya bongo ni 18
Yote sawa ila sikubaliani na hilo la kutoa mali yako yote kwa kanisa ukitegemea ndio njia ya kwenda huko. Hii ni kama hongo tu haina nafasi kwa Mungu.Bujugo alishafariki,kuhusu hiyo shule ya Misenyi sijui ila Bujugo alikuwa mfadhili wa Bujugo sekondari kijijini kwao.Jina Bujugo siyo lake ni la kijiji.Nasikia zamaji hata yeye
Yesu hakuhubiri sheria ya jino kwa jino.Ina maana usipompata uliyemkosea Yesu hakuokoi? Mtume Paulo ni wapi aliwaomba msamaha aliowatesa? Halafu tunaamini,To every general rule there is an exception.Utapatana vipi na mtu ambaye alishafariki na hakuna ndugu wala jamaa yake? Kasome vema injili ya mwana wa Adam uje ukiri hapa kwa hakika Lesheya yuko mahali pema mkono wa kuume wa baba yetu.Hata kama kupatana na uliyemkosea ni lazima ,una evidence gani kwamba Lesheya hakulitimiza hilo?Mwenzio mali nyingi kaliachia kanisa.
Bro kwanza naomba ufute hiyo kauli ya kuita Biblia ina story za kijinga. Mi ni mtu mzima so siendeshwi na hisia ninao uwezo wa kuamua hatima yangu sihtaji unifikirie kwa niaba yangu. Shida unaifikiria Biblia uliyoletewa na Mzungu umesahau biblical iko hapo Ethiopia kabla hata uzungun so relax mkuu. Wakati mwingine kile unachofikir ni sahihi linaweza kuwa sio sahihi aisee ila mwisho wako wa kufikiriMkuu Kitali hivi unaamini hizi story za kijinga hivi za kwenye biblia?
Duh maajabu haya
Halafu akina Kitali ni very brainy nakaa nao jirani Moshi kijijini kule...very very bright
Ahahahaha ahahaha hahahaHuyo Malebo nilimuona Youtube yupo kijijini huko Maeneo ya Moshi. GUGU utamuona na kumsikia akisimulia kisa Chache yeye mwenyewe
Maisha ya Lesheya ni full bongo movie, huu uzi unatosha kutengeneza cinemaMiaka ya 99 huko nilikuwa na Deal na mbao. Sasa nawashushia sijui dereva wangu akamlegezea mama akachapa, cjui ule mchezomzee walipanga na mama. akajifanya amemfumania dereva. akaacha gar akakimbia. Mzee anajifanya ametaifisha gar na mbao, mi wakati huo nipo iringa huko. Nakumbuka tu nilikuja nikampa account nika mwambia mzee mi kwanza nilishairisha kwenda mbinguni na pili mimba yangu imeingilia bar na nimezaliwa segerea sasa mi nakuachia kila kitu sisi wakibosho pesa tutaifuata muda tunaotaka utanitafuta mwenyewe. Kilichotokea anajua yeye na mkewe kwenye mabanda yao ya nguruwe kule salasala.
Kuna watu wana utani na Mungu bro. Mtu anawaibia watu na kuwadhulumu kisha anaokoka halafu anatoa michango mikubwa kanisan wakati aliyemdhulum kila siku anamkumbusha Mungu alivyoonewa. Watu waache usaniiWatu wanaokoka mali za watu hawarudishi 😄
nilikuwa naitafuta hii comment , nikajisema ata kama marehemu hasemwi ila kwa namvujua mzee kwa dhuruma lazima hili litokeeAlikuwa dhulmati sana huyu.
Suala la Lesheya kuokoka ilikuwa geresha tu. Mbona alikuwa anaendeleza matukio ya dhuluma wakati amekuwa Pastor na Kanisa kajenga?Yote sawa ila sikubaliani na hilo la kutoa mali yako yote kwa kanisa ukitegemea ndio njia ya kwenda huko. Hii ni kama hongo tu haija nafasi kwa Mungu.
Mkuu naona dini ishakuaharibu rationality na uwezo binafsi wa kufikiri tayariBro kwanza naomba ufute hiyo kauli ya kuita Biblia ina story za kijinga. Mi ni mtu mzima so siendeshwi na hisia ninao uwezo wa kuamua hatima yangu sihtaji unifikirie kwa niaba yangu. Shida unaifikiria Biblia uliyoletewa na Mzungu umesahau biblical iko hapo Ethiopia kabla hata uzungun so relax mkuu. Wakati mwingine kile unachofikir ni sahihi linaweza kuwa sio sahihi aisee ila mwisho wako wa kufikiri
Umeongea kiingereza Kiswahili nk cjaelewa point yako. Hoja imeanzia kwenye biblia ndio maana inajibiwa kibaibo. Ninachosema ufahamu wako sio tiketi ya mimi kukufuata. So moja ya sababu ya dunia kuwa na aman ni kule kuamin kila mtu yupo sahihi kwenye lile analoona linafaa kwake. Kunilazimisha mimi kuamin unayowaza ndio ujinga wenyewe. Na pia unaweza kumtengeneza Mungu kwa namna ile unayotaka wewe uko sahihi. Ila kusimama mtu mzima mishipa imekutoka sijui hayo maujinga unayofuata ni ujinga kupindukia.Mkuu naona dini ishakuaharibu rationality na uwezo binafsi wa kufikiri tayari
Huwezi kua extreme hivi na kutukana kiasi hiki kisa eti unatetea biblia
Tuseme Mkuu Kitali as you are now,unaweza kunipiga panga sababu tu nimedharau mumbo jumbos za kwenye biblia,halafu kumbuka mi jirani yako wa damu lakini still unaona biblia ni bora kuliko ndugu yako?
Punguza unazi wa kidini,usiweke dini mbele ya ndugu yako,punguza extremism!
Blah blah za Ethiopia mara Uzunguni ni still story hakuna proof zozote kuna supernatural deity au entity from outer space ilikuja dunani ikaleta hizo nonsense za vitabu
Mi nakuomba unapotoa hoja au kuongea na jamii vitu vya kidunia basi chonde chonde jitahidi usipende kuchanganya your personal religion ndani yake kama vehicle ya kusukuma hoja zako,maana tupo watu mbalimbali hapa tunakusikiliza with imani tofauti kabisa na wewe.
Halafu Kitali hawanaga mahasira sana kama wewe bana....plus umri wako ni mali yako binafsi,it got nothing to do with anyone else,and who cares anyways?
Ni rahisi kwa Ngamia kupenya katika tundu la sindano Kuliko Tajiri kuuona ufalme wa mbinguni.Watu wanaokoka mali za watu hawarudishi 😄
Kwa hizi comments huyo mzee kapigwa na vitu vizito vingi... kama laana vile..Sio huyo bana acha ubishi watu wote hao nimefanya nao kaz. Huyu ana kiwanda cha nguzo huko mufindi na watoto wote wa kiume wamekufa kasoro mmoja ni teja pale hongkong china.
Isijekuwa we mwenyewe ndiye mrangi ila unajipigia pande ktk fake ID nyingine (utani)Huu uzi bila mrangi Kuna vitu vinakuwa vinakosekana kuchangiwa.