Nimesoma comments zote, raia wa humu wanadai wakiume walikufa wote kasoro mmoja ni teja Hong Kong, mama yao pia alikufa. Wa kike kabaki mmoja business woman mkubwa wa ku export chuma chakavu toka Zambia na Malawi ila anaishi hapahapa Dar, ila nae angeweza kumaliza miaka mitatu au zaidi bila kumuona mzee wake(walikuwa hawaelewani). Mali nyingi kaachia kanisa.wavivu kusoma tujuzeni....kwa hiyo wanae wooote walikufa....au ni wale wa kiume tu? wa kike wapo na ni wangapi?
Maumivu aliyoyapata yanazidi hata mali alizokwapua
Ni wa kiume tu,inaaminika aliwatoa kikowawavivu kusoma tujuzeni....kwa hiyo wanae wooote walikufa....au ni wale wa kiume tu? wa kike wapo na ni wangapi?
Maumivu aliyoyapata yanazidi hata mali alizokwapua
Wa kike wapo wanne wote wako hai.Nimesoma comments zote, raia wa humu wanadai wakiume walikufa wote kasoro mmoja ni teja Hong Kong, mama yao pia alikufa. Wa kike kabaki mmoja business woman mkubwa wa ku export chuma chakavu toka Zambia na Malawi ila anaishi hapahapa Dar, ila nae angeweza kumaliza miaka mitatu au zaidi bila kumuona mzee wake(walikuwa hawaelewani). Mali nyingi kaachia kanisa.
NB: Namjua huyu Mzee ndo maana imebidi nisome comments zote.