Mfahamu Jenerali Ulimwengu, a True Pan-African Legend

Ulimwengu li-CCM zoefu lilishoshindwa kufikia ndoto zake za juu baada ya kutumikia ubunge, udc na ujumbe wa kamati kuu hata baada ya mfumo wa mageuzi kuja. Likabaki na hate ya aina yake kwa Mkapa na baadae kwa Magu
Kama hajui tu, Ulimwengu alikuwa mratibu mkuu wa kampeni za CCM za Mkapa mwaka 1995, alitofautiana vikali sana na Mkapa kuanzia 1997 pale Mkapa alipoanza kuwa fisadi na kuuza mashirika ya umma kiholela. Huo ndio wakati ambapo hata Nyerere alimgeuka Mkapa.

Kwenye siasa za ndani za CCM, Jenerali Ulimwengu unaweza kumfananisha kwa kiasi kikubwa na Kinana. Wote ni strategic political planner waliopikwa sana kupitia Jeshini. Ni mafia fulani fulani hivi.
 
OIP.YgfHXVEm1Td178kEaKXa3AAAAA
Ha ha ha ha...mzee wa kata funua...kwake hoja hajui ni kukutwisha vitu vizito kichwani tu.

File lake la mirembe anamwambia Jeneral aliheshimu...ozawaizi anampeleka bungeni na pingu mbele ya kamati ya nidhamu

Hii nchi mwendazake kaivuruga sana..kaacha matapishi kila sehemu.
 
Ni mapungufu makubwa sana yasiyo kifani!! kudhania kuwa kwa sababu umeongea na Dikteta mmoja Duniani eti basi una akili sana au umaarufu sana!! NOoo! Duniani humu kuna watu waliongea na Mungu tena Live!! lkn walichapwa km watoto wadogo!!

Yesu Baba lao! aliwaumba akawatengeneza wanadamu wooote! akawalinda!! na bado anawalinda, aka wapenda lkn walimchapa Mijeledi hadharani!! akatemewa mate!! lkn bado wengine hawakumuamini mpaka leo hawaamini yey ni mwana wa Mungu! !

Mtoa bata! akanyimwa Bata!!! ebu fikiria yeye ana kula bata kiasi gani huko aliko?? sasa wewe unatwambia habari za Ulimwengu kuongea tu!!! na babake kiduku umeona ndo bonge la ujiiiiko! huenda hata hapo alibebwa tu! ''nisindikize huku bwana"

Miswahili bana ina mambo ya kishamba mno!!! tena huna akili wewe kabisaaa, au ni mwana kijiji kweli typical! hana issue yeyote mjinga tu yule anatafutwa na USA mpaka kesho!!! kwani Babu yake kiduku alikuwa na upako gani??unamshadadia ivo?
 
Ndugai amepotoka sana.
JENERALI ULIMWENGU alizaliwa tarehe 4 Aprili 1948 huko Ngara, Mkoa wa Kagera nchini Tanzania. Alisoma shule za Kamachumu, Katoke na Nyakato mkoani Kagera na sekondari mkoani Tabora kuanzia mwaka 1955 hadi 1968 na alikuwa mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Afrika Mashariki wakati huo mwaka 1969 hadi 1972.

Chuo Kikuu, Ulimwengu alikuwa mmoja wa wanafunzi wenye itikadi kali wanaharakati wanaounga mkono sababu zinazoendelea za ukombozi wa Afrika na ukombozi wa binadamu. Baada ya kuacha Chuo Kikuu, akawa mwanachama hai wa chama tawala, kisha TANU (Tanganyika Afican National Union) na baadaye CCM ('Chama cha Mapinduzi') kama maelezo mafupi yafuatayo ya utumishi wake baada ya mwanafunzi:











Mnamo Novemba 1993, Ulimwengu ambaye ni Mwenyekiti wa Habari Corporation, pamoja na wanahabari wengine waliojitolea, walianzisha gazeti la kwanza la kila wiki la Kiswahili linaloitwa Rai, ambalo mara moja lilijizolea umaarufu mkubwa na kuwa gazeti la habari la kuhabarisha, uchunguzi, uchambuzi na bila woga nchini. Mnamo Septemba 1995 na Februari 1998, mradi wao wa uchapishaji ulizindua gazeti la kila siku la Kiswahili, Mtanzania na la Kiingereza la kila siku la Kiafrika mtawalia.

Biashara yao ya uchapishaji pia ilimiliki magazeti mawili ya michezo kufikia wakati huu. Katika haya yote, Jenerali Ulimwengu aliendesha safu binafsi, ambazo zilisomwa na kuthaminiwa sana kwa nafasi zao za uzalendo na maendeleo. Ulimwengu hakuvuta makonde katika kuchukua misimamo ya kukosoa, bali ya kujenga, dhidi ya wanasiasa kwa maslahi ya wanyonge, wasiojiweza na wanaotengwa na nchi, bara na dunia.

Magazeti ya Ulimwengu yamekuwa yakiongoza kwa kuibua baadhi ya maovu katika jamii yetu yakiwemo ya ufisadi na kashfa ndani ya Serikali. Si ajabu, katika harakati za kutafuta na kufichua ukweli na kutumikia maslahi ya nchi yake na bara la Afrika, shughuli za Ulimwengu bila kukwepeka na bila kukusudia zimekuwa zikikanyaga vidole vyake vya nguvu, hivyo kupata hasira za wanasiasa wachache wanaonusurika kwa vitendo vya kifisadi na siasa za upendeleo(nepotism).


View attachment 2007836


Jenerali Ulimwengu akiwa na Rais wa zamani wa Msumbiji, Samora Machel.
 
Mkapa huyo,baada ya kuuza nchi kuliko mangungo,ulinwengu akimwandika saana,Akaona amnyang'anye uraia
Tatizo likawa je Jenerali arudishwe wapi? Mambo hayo huleta utata hasa ukichukulia kwamba baada ya kusema ukweli basi unazushiwa zengwe la kutokuwa raia. Yupo Waziri mmoja naye alionja joto hili. Aliambiwa yeye ni Msomali ilhali kazaliwa, kakulia, kasomea hapa hapa na wazazi wake walikuja hapa enzi hizo. Mwandishi mmoja alilazimika kuununua Uhuru/ uraia wake kwa fedha, kosa lake kuandika habari zilizowaudhi wao.
 
Tatizo likawa je Jenerali arudishwe wapi? Mambo hayo huleta utata hasa ukichukulia kwamba baada ya kusema ukweli basi unazushiwa zengwe la kutokuwa raia. Yupo Waziri mmoja naye alionja joto hili. Aliambiwa yeye ni Msomali ilhali kazaliwa, kakulia, kasomea hapa hapa na wazazi wake walikuja hapa enzi hizo. Mwandishi mmoja alilazimika kuununua Uhuru/ uraia wake kwa fedha, kosa lake kuandika habari zilizowaudhi wao.
Na mkapa mwenyewe alisema 40% ya watu wa upande wa mama yake wanaishi Msumbiji.
 
Usisahau pia kuwa aliwahi kuzushiwa kuwa sio raia wa Tanzania
Kwani ni raia kweli? Kuzaliwa Ngara ni fablication tu. Muulize babu yake aliishi wapi hapa Tanzania kama atakwambia. Halafu mtoa post kuweka baadhi ua kumbukumbu sawa, Ulimwengu alianza na gazeti la Dimba kabla ya mengine. Na Habari Corporation sasa hivi ni mali ya Rostam.
 
Back
Top Bottom