25 November 2023
Jenerali Ulimwengu - "Kuhusu Mfumo wa Serikali,Tuna jidanganya Hatuoni Tatizo"
View: https://m.youtube.com/watch?v=PWrarDLQBCA
Kuongezeka mikoa na wilaya kila siku Jenerali Ulimwengu anasema kuwa kwa kumulika kurunzi yake kwa wakuu wa mikoa 29, wakuu wa wilaya 123, wakurugenzi wa wilaya 123, wakurugenzi wa mawizara 52 na 'wateule' wengine wa rais, wateule hao wote rais hawajui maana siyo Mungu wa waHindu mwenye vichwa kadhaa na miguu isiyo na idadi kuwa na uwezo wa kuwafikia wateule wake kuwatathmini utendaji kazi wao, ripoti zao wanazomsomea akiwa wilayani ktk ziara. Teuzi hizi zimeanzia tangu kina Mzee Joseph Butiku wakiwa wanatumia awamu ya kwanza na kuendelea hadi sasa ...
Jenerali Ulimwengu asisitiza ili tupate maendeleo makubwa katika nyanja zote lazima tubadilishe utaratibu wa kujitawala na pia kuwashirikisha wananchi kuamua kwa kuchagua viongozi ktk maeneo badala ya kumtwisha rais majukumu hayo wakati hao maRC na maDC pia maDED hawafahamu .....
Hayo yamejiri leo katika paper zilizowakilishwa leo katika shughuli ya tatu iliyoandaliwa na Taasisi ya Maalim Seif Foundation ambayo imeandaa mkutano Zanzibar katika kuuenzi mchango wa Maalim Seif Hamad katika uongozi Tanzania. Kauli mbiu ya mkutano huu ni Siasa, Uongozi na Utawala:Tumekosea Wapi, Tujisahihishe Vipi? Kiongozi wa chama cha upinzani cha South Afrika Build One South Africa, Mmusi Maimane ni mgeni mwalikwa katika tukio hili...
Fuatilia paper hizo zinazoweza kusaidia mfumo wa Siasa, Uongozi na Utawala nchi Tanzania kubadilishwa kuwa wa manufaa kwa wananchi wote
Source : The Chanzo
Jenerali Ulimwengu - "Kuhusu Mfumo wa Serikali,Tuna jidanganya Hatuoni Tatizo"
View: https://m.youtube.com/watch?v=PWrarDLQBCA
Kuongezeka mikoa na wilaya kila siku Jenerali Ulimwengu anasema kuwa kwa kumulika kurunzi yake kwa wakuu wa mikoa 29, wakuu wa wilaya 123, wakurugenzi wa wilaya 123, wakurugenzi wa mawizara 52 na 'wateule' wengine wa rais, wateule hao wote rais hawajui maana siyo Mungu wa waHindu mwenye vichwa kadhaa na miguu isiyo na idadi kuwa na uwezo wa kuwafikia wateule wake kuwatathmini utendaji kazi wao, ripoti zao wanazomsomea akiwa wilayani ktk ziara. Teuzi hizi zimeanzia tangu kina Mzee Joseph Butiku wakiwa wanatumia awamu ya kwanza na kuendelea hadi sasa ...
Jenerali Ulimwengu asisitiza ili tupate maendeleo makubwa katika nyanja zote lazima tubadilishe utaratibu wa kujitawala na pia kuwashirikisha wananchi kuamua kwa kuchagua viongozi ktk maeneo badala ya kumtwisha rais majukumu hayo wakati hao maRC na maDC pia maDED hawafahamu .....
Hayo yamejiri leo katika paper zilizowakilishwa leo katika shughuli ya tatu iliyoandaliwa na Taasisi ya Maalim Seif Foundation ambayo imeandaa mkutano Zanzibar katika kuuenzi mchango wa Maalim Seif Hamad katika uongozi Tanzania. Kauli mbiu ya mkutano huu ni Siasa, Uongozi na Utawala:Tumekosea Wapi, Tujisahihishe Vipi? Kiongozi wa chama cha upinzani cha South Afrika Build One South Africa, Mmusi Maimane ni mgeni mwalikwa katika tukio hili...
Fuatilia paper hizo zinazoweza kusaidia mfumo wa Siasa, Uongozi na Utawala nchi Tanzania kubadilishwa kuwa wa manufaa kwa wananchi wote
Source : The Chanzo