Benson Mramba
JF-Expert Member
- Oct 29, 2013
- 644
- 1,482
Meya wa Ubungo Mheshimiwa Boniface Jacob apigana na mbunge wa Arusha mjini Godlbess Lema Kwenye Kikao cha Kamati kuu ya Chadema.
Lema alikuwa anamtuhumu mbunge wa Kibamba, John Mnyika kuwasaliti na kuwa na mipango ya kuhamia CCM ndipo Boniface Jacob aliposimama na kumwambia Lema aache kumsingizia Mnyika mambo ya kipuuzi ndipo Lema alipomrushia Ngumi Meya huyo wa Ubugo.
=====
UPDATES:
Meya wa Manispaa ya Ubungo, Boniface Jacob Akanusha kugombana na Mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema. Asema ni Propaganda na Uzushi. "Tusipoteze muda kwenye vitu vya uongo na uzushi, tujifocus kwenye maisha yetu ambayo sasa hivi hali yetu kama watanzania tunaiona ngumu kila siku zinavyoenda". amesema Jacob.
Lema alikuwa anamtuhumu mbunge wa Kibamba, John Mnyika kuwasaliti na kuwa na mipango ya kuhamia CCM ndipo Boniface Jacob aliposimama na kumwambia Lema aache kumsingizia Mnyika mambo ya kipuuzi ndipo Lema alipomrushia Ngumi Meya huyo wa Ubugo.
=====
UPDATES:
Meya wa Manispaa ya Ubungo, Boniface Jacob Akanusha kugombana na Mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema. Asema ni Propaganda na Uzushi. "Tusipoteze muda kwenye vitu vya uongo na uzushi, tujifocus kwenye maisha yetu ambayo sasa hivi hali yetu kama watanzania tunaiona ngumu kila siku zinavyoenda". amesema Jacob.