'MESEJI' ya HUJUMA...

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Nov 25, 2010
6,135
17,802
Siwezi kuamini.Kweli Tume iliyosheheni Wasomi wa Sheria wabobezi inaweza kucheza mchezo mchafu kama huu?! Ni hivi,leo asubuhi nimepokea ujumbe kwenye simu yangu ya mkononi. Ujumbe ( ingawa siwezi kuukumbuka neno hadi neno kwakuwa niliufuta haraka kwa woga mkuu) unanifahamisha kuwa nijiandae kwenda Mafia kutetea msimamo wa Tume juu ya Maoni ya Katiba. Sehemu ya Ujumbe huo unasema ifuatavyo : 'tuna taarifa kuwa wewe ni mzaliwa wa Mkoa wa Pwani'.

Ujumbe ukaendelea:'Wilaya yako ya Kibaha haipo kwenye orodha ya Wilaya za mwanzo kukusanyiwa maoni yako ya Katiba. Kwa kuzingatia umuhimu na weredi wako wa kisheria,tunakualika uambatane nasi kwenda Mafia kwa ajili ya kushiriki kwenye Ukusanyaji wa Maoni ya Katiba Mpya. Utafanya hivyo tena Wilayani Kibaha. Tutakuwa na Kikao cha uelekezi tarehe....' Nilipofika hapo nikaufuta na kuanza kulia. Nikachanganyikiwa hadi kusahau kuitunza nambari ya aliyenitumia ujumbe.Wakinikumbusha,nitaiweka nambari hapa jamvini. Nisameheni kwa 'kupanic' kwangu...

Nashindwa kuamini na kuendelea kuandika habari hii. Kwakweli nimelia sana asubuhi ya leo. Kumbe watoa maoni wa Katiba Mpya ni Mamluki? Maoni yenyewe kumbe sio huru na ya haki.Hapa tulikofikia,inahitajika v... au? Sina imani na chochote juu ya lolote la Serikali na Tume.Kamwe...
 
Kabisa unaonekana una agenda yako unayotaka kutuambia, ila umetumia mwanya wa uongo mwepesi!

Sitaki kuamini kama ujembe wenyewe ndio huo ukufanya ulie na kuufuta haraka kiasi hicho!

Tuwe na weledi ndugu zangu, jf sio chaka la wajinga wa kupimia uwezo wako!

Pole sana! Ukiumbuka endelea kulia kwa nguvu zote!
 
Siwezi kuamini.Kweli Tume iliyosheheni Wasomi wa Sheria wabobezi inaweza kucheza mchezo mchafu kama huu?! Ni hivi,leo asubuhi nimepokea ujumbe kwenye simu yangu ya mkononi. Ujumbe ( ingawa siwezi kuukumbuka neno hadi neno kwakuwa niliufuta haraka kwa woga mkuu) unanifahamisha kuwa nijiandae kwenda Mafia kutetea msimamo wa Tume juu ya Maoni ya Katiba. Sehemu ya Ujumbe huo unasema ifuatavyo : 'tuna taarifa kuwa wewe ni mzaliwa wa Mkoa wa Pwani'.

Ujumbe ukaendelea:'Wilaya yako ya Kibaha haipo kwenye orodha ya Wilaya za mwanzo kukusanyiwa maoni yako ya Katiba. Kwa kuzingatia umuhimu na weredi wako wa kisheria,tunakualika uambatane nasi kwenda Mafia kwa ajili ya kushiriki kwenye Ukusanyaji wa Maoni ya Katiba Mpya. Utafanya hivyo tena Wilayani Kibaha. Tutakuwa na Kikao cha uelekezi tarehe....' Nilipofika hapo nikaufuta na kuanza kulia. Nikachanganyikiwa hadi kusahau kuitunza nambari ya aliyenitumia ujumbe.Wakinikumbusha,nitaiweka nambari hapa jamvini. Nisameheni kwa 'kupanic' kwangu...

Nashindwa kuamini na kuendelea kuandika habari hii. Kwakweli nimelia sana asubuhi ya leo. Kumbe watoa maoni wa Katiba Mpya ni Mamluki? Maoni yenyewe kumbe sio huru na ya haki.Hapa tulikofikia,inahitajika v... au? Sina imani na chochote juu ya lolote la Serikali na Tume.Kamwe...

Hukumaliza kusoma ujumbe ukaufuta! Ukaanza kulia! Namba iliyotuma ujumbe huijui! Hapa jamvini umepakumbukaje wakati hata ulichoandikiwa hukukisoma kujua content?
Nakushauri mambo ya KIZUSHI hapa siyo mahali pake na usipende kutumia jamvi hili KUKUSIKITIKIA kwa UZEMBE au UONGO wako.
 
Siwezi kuamini.Kweli Tume iliyosheheni Wasomi wa Sheria wabobezi inaweza kucheza mchezo mchafu kama huu?! Ni hivi,leo asubuhi nimepokea ujumbe kwenye simu yangu ya mkononi. Ujumbe ( ingawa siwezi kuukumbuka neno hadi neno kwakuwa niliufuta haraka kwa woga mkuu) unanifahamisha kuwa nijiandae kwenda Mafia kutetea msimamo wa Tume juu ya Maoni ya Katiba. Sehemu ya Ujumbe huo unasema ifuatavyo : 'tuna taarifa kuwa wewe ni mzaliwa wa Mkoa wa Pwani'.

Ujumbe ukaendelea:'Wilaya yako ya Kibaha haipo kwenye orodha ya Wilaya za mwanzo kukusanyiwa maoni yako ya Katiba. Kwa kuzingatia umuhimu na weredi wako wa kisheria,tunakualika uambatane nasi kwenda Mafia kwa ajili ya kushiriki kwenye Ukusanyaji wa Maoni ya Katiba Mpya. Utafanya hivyo tena Wilayani Kibaha. Tutakuwa na Kikao cha uelekezi tarehe....' Nilipofika hapo nikaufuta na kuanza kulia. Nikachanganyikiwa hadi kusahau kuitunza nambari ya aliyenitumia ujumbe.Wakinikumbusha,nitaiweka nambari hapa jamvini. Nisameheni kwa 'kupanic' kwangu...

Nashindwa kuamini na kuendelea kuandika habari hii. Kwakweli nimelia sana asubuhi ya leo. Kumbe watoa maoni wa Katiba Mpya ni Mamluki? Maoni yenyewe kumbe sio huru na ya haki.Hapa tulikofikia,inahitajika v... au? Sina imani na chochote juu ya lolote la Serikali na Tume.Kamwe...

Haueleweki full. mi sujaona kilichokuliza. Au uliogopa kuona neno MAFIA? je wewe ni wajinsia gani mpaka kujisifia kulia.
Sasa huo umamluki ukowapi hapo kwenye taarifa yako? Unamaanisha nini ukisema watoa maoni wa katiba mpya? au unamaana wakusanya maoni?

Kama ni ndoto uliota si ungesema tu ili tujue.
 
Asilimia mia moja, hiyo habar ni ya uzushi, una ajenda yako binafsi. ...Hujamaliza kusoma ukafuta na ukaanza kulia...., kitu gan kimekuliza? Kwa nini ulifuta msg? Acha hizo.
 
Je ni kweli wewe ni mzaliwa wa Pwani? je wewe umesomea sheria? tuanzie hapo kwanza
 
VUTA-NKUVUTE, hiyo ilikuwa ndoto tu au maruweruwe. Jana ulikunywa nini na kiasi gani?
Hakuna ulazima wa mtu kwenda alikozaliwa ili kutoa maoni, unaweza kutoa hata online ukiwa umekaa juu ya lindi chooni.
 
Last edited by a moderator:
We jamaa hebu acha fitna..haiwezekani uifute hiyo namba. Kwa azingira yetu tulivyo tunafowadi SMS zenye muelelekeo km huu kwa ndugu jamaa na marafiki iweje wewe ulie kisha uifute. Sasa kama umeifuta hatuna haja ya kukuamini..
 
Kahawadithie watoto wenzako huko !!! Wacha kuipaka matope Tume ya Katiba, sio kila kitu ni cha kupinga. Yaani utaelekezwaje kwenda kutoa maoini Mafia ilihali wewe sio mzaliwa wa hapo Mafia ? Watu wa Mafia hawatakuona kuwa wewe sio mkazi wala mwenye asili ya huko. Halafu kwa nini umelia, kwani kuna vitisho vya kukudhuru hapo ? Kama unapewa ajira ya muda, mbona ungeenda halafu uje usaidie kufichua hiyo hujuma. Sasa ni-PM namba yako niangalie kwenye server kama umetumiwa sms ya namna hiyo !!!
 
Jamani tumuhurumie! Huyu mtu hakufahamu MAFIA ni Wilaya, Yeye alivyoona neno MAFIA akafikiri yale yaliyompata Dr. Ulimboka kule Mabwepande. Ndiyo maana alichanganyikiwa na kuanza kulia!

But in serious note, huu ujinga ulioleta hapa JF sio mahala pake.
 
Je ungeambiwa tutaenda Mabwepande kuhakiki wahamihaji waliotoka kigogo??leo siungefungasha kwenda kwenu Moshi!
 
Kahawadithie watoto wenzako huko !!! Wacha kuipaka matope Tume ya Katiba, sio kila kitu ni cha kupinga. Yaani utaelekezwaje kwenda kutoa maoini Mafia ilihali wewe sio mzaliwa wa hapo Mafia ? Watu wa Mafia hawatakuona kuwa wewe sio mkazi wala mwenye asili ya huko. Halafu kwa nini umelia, kwani kuna vitisho vya kukudhuru hapo ? Kama unapewa ajira ya muda, mbona ungeenda halafu uje usaidie kufichua hiyo hujuma. Sasa ni-PM namba yako niangalie kwenye server kama umetumiwa sms ya namna hiyo !!!
Utaendelea na msimamo wako nikija na ushahidi Mkuu?
 
Back
Top Bottom