SUPER PREDATOR
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 2,093
- 725
Mengi ni mpuuzi sana ....
Wewe kuwa na adabu kwa wakubwa na viongozi, unakua kama mtoto wa mitaani
Mengi ni mpuuzi sana ....
Hapo bado kuna swali kweli? Kama alikuwa team Lowasa na amekanusha taarifa kuwa amejitoa, hiyo si ina maana hajajitoa? Au mm ndo sijui reasoning?
Kwani ni lini alitangaza kuwa anawaunga mkono UKAWA? Halafu hili tamko mbona limekaa kijinga sana. Siamini kama limeandaliwa na Reginald Mengi
Badala ya kutulia na kulea wanae kutwa nzima kulia lia tuu utafikiri yeye ni mtanzania pekee! Hatutaki kura yake na tutashinda kwa kishindo .....!
Watu wangapi wanasemwa vibaya kwenye mitandao yani kusemwa yeye ndio amani ivunjike?
Mengi acha ujinga wa kulialia kila leo ...hatuhitaji kura yako..
yap ni kweli hicho kikao kilikuwepoKwa waandishi wa habari mliopo Dar es Salaam, je ni kweli kwamba kuna kikao cha aina hiyo hapo Serena Hotel?
Badala ya kutulia na kulea wanae kutwa nzima kulia lia tuu utafikiri yeye ni mtanzania pekee! Hatutaki kura yake na tutashinda kwa kishindo .....!
Watu wangapi wanasemwa vibaya kwenye mitandao yani kusemwa yeye ndio amani ivunjike?
Mengi acha ujinga wa kulialia kila leo ...hatuhitaji kura yako..
L Lazima
O October
W Wampe
A Atuongoze
S Sababu
S Sifa
A Anazo
Hah, duhh! Ama kweli pipoo noma!L Lazima
O October
W Wampe
A Atuongoze
S Sababu
S Sifa
A Anazo
Kwani ni lini alitangaza kuwa anawaunga mkono UKAWA? Halafu hili tamko mbona limekaa kijinga sana. Siamini kama limeandaliwa na Reginald Mengi