Mengi akanusha habari zinazodai 'amejitoa rasmi kwa Lowassa'

Badala ya kutulia na kulea wanae kutwa nzima kulia lia tuu utafikiri yeye ni mtanzania pekee! Hatutaki kura yake na tutashinda kwa kishindo .....!

Watu wangapi wanasemwa vibaya kwenye mitandao yani kusemwa yeye ndio amani ivunjike?

Mengi acha ujinga wa kulialia kila leo ...hatuhitaji kura yako..
Kama kawaida anatafuta ujiko na kuonewa huruma.kuita kote huko waandishi anatoa stament ya kusomwa dakika moja? Ni heri angeibandika Itv ili ionekane kaskazini kote
 
Mengi ana hofu kubwa na magufuli akiingia atamnyang'anya vitalu alivyoshindwa kuviendeleza kwa miaka 10.Anajua kua muhongo anarudi nishati na madini hapo ndipo mchecheto unaanza kwa kutoa taarifa isio na kichwa wala miguu
 
Watanzania tusiojitambua tujifunze kutoka kwa Lau Masha kwenye usomaji wa alama za nyakati. Haya, wa waliokuwa hawajaelewa basi wasome hapa, numbers do not lie.
 
Sasa mada yako ni tofauti na tamko la mengi wala halionyeshi kama kajitoa ama kaingia. Hapa mimi nilichoelewa kwamba ni kweli UKAWA kwa nafasi ya urais wasubiri miaka 10 kitu ambacho ni kweli kabisa iwe kasema yeye au yeyote yule

Lowasa ndiye rais wa JMT huyo makomeo peleka maghalani
 
Hilo andiko linatia shaka kwakweli. lakini siitaji kupitia mabandiko ya jamii forum ili kujua team anayochezea mengi maana ni swala lilowazi na linalojulikana siku nyingi tu kwamba si muumini wa jezi ya kijani na njano

Kwani kuna ubaya gani mtu kujichagulia cha kupenda?
 
Back
Top Bottom