TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 23,914
- 23,079
Fafanua zaidi mkuuwizi mkubwa haupo halmashauri,upo mawizarani
Fafanua zaidi mkuuwizi mkubwa haupo halmashauri,upo mawizarani
Please wait downloading is on process..............0.5%!Rais Jakaya Kikwete leo katika mei mosi amejibu madai yote yaliyotolewa na CHADEMA kwamba CCM na serikali yake inashindwa kushughulikia matatizo katika uchumi ikiwemo mfumuko wa bei, ukosefu wa ajira kwa vijana, kupungua kwa uzalishaji na matumizi makubwa ya serikali ukilinganisha na mapato. Rais Kikwete ametoa majibu ya kina namna ambavyo kila tatizo limeshughulikiwa vizuri. Rais Kikwete amejibu pia madai ya CHADEMA kuwa ameshindwa kushughulikia ufisadi ikiwemo ambao umetajwa kwenye ripoti za mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali. Rais Kikwete ameeleza kwa kina namna ambavyo toka mwaka 2007 Serikali imechukua hatua sahihi. Hotuba hiyo ya Kikwete imerejesha matumaini ya wananchi kwa CCM na kwa serikali iliyoko madarakani.
Blackbold:kama unayosema ni sahihi basi kuna tatizo kwa mkuu wa kaya katika kushughulikia mambo kwa haraka.JK kumbe anajua ubadhirifu halmshauri tangu siku nyingi. Kumbe alimwita Uttoh akawachane Mawaziri na Makatibu Wakuu.
Hamna kitu,anajikosha tu Baada ya kuona mchele ushamwagika Hadharani, sidhan hata kama alikuwa na taarifa Bunge litajadili hiyo kitu katika level ile, sidhan kama hii ndo taarifa ya kwanza ya CAG kuonesha wizi wa Serkali yenu ya Magamba.JK kumbe anajua ubadhirifu halmshauri tangu siku nyingi. Kumbe alimwita Uttoh akawachane Mawaziri na Makatibu Wakuu.
Hapo kwenye red hata rais hana mamlaka ya kumuondoa CAGRais JK amesema amefurahishwa taarifa ya CAG imepewa nafasi yake kujadiliwa na mapendekezo ni mazuri.
Serikali imejipanga kuyatekeleza.
Yeye kama Rais ndio alipendekeza reports za CAG ziwekwe wazi bunge na wananchi wazisome na kujadili.
UPDATES
-alimuagiza CAG aimarishe ofisi yake.
-sheria ya ukaguzi iliboreshwa na CAG alipewa mamlaka zaidi
-hakuna chombo nchini chenye mamlaka ya kumuondoa au kumdhibiti CAG
- CAG akigundua kuna hali ya wizi, akabidhi wahusika kwenye vyombo vya dola wakati uchunguzi unaendelea
Hakuna baraza jipya la mawaziri
Transparency gani hiyo unayozungumzia wewe?Kwenye suala la TRANSPARENCY JK YUPO JUU,AMEJTAHID SANA
Sasa sisi ambao siyo mauditor na hatuhitaji hiyo elimu? Kwa ujumla hapo siyo sehemu yake wizi ni wizi Hakuna cha transparencyYote mawili coz auditorz nao wanamckiliza na kumtazama
MY TAKE
1. Anaonekana yuko very much concernedna huu wizi sasa sijui atachukua hatua gani.
2. Hivi kwa nini katka level yamkoa/wilaya wasiwe wanazijadili izi taarifa za CAG to the respective region/district pamoja na utumbo wao kuwekawa hadharani hasa kwenye vile vikao vinavyo involve madiwani ili angalau kuwe na seriousness.
3. Kama CAG alishapewa rungu la kukabidhi polisi wahalifu mbona hawa mawaziri ndo kwanza twaambiwa sound za CAG.
Rais anasema UWONGO, kwani angekuwa anamaanisha anachokiseam basi leo hii wale jamaa si mawaziri tena walisha fukuzwa siku nyingi sana.
Tatizo kwenye hotuba yake hakuna sehemu ya maswali na majibu. Otherwise watu wangemuumbua.
Ni kweli kabisa katika utawala wa awamu ya nne umeimarisha ofisi ya ukaguzi ya Taifa. Vijana wengi wamesomeshwa katika taaluma mbalimbali. Nadhani pia kuna political will ya kuisaidia ofisi hii ndio maana hata report zimekuwa za wazi na zinagonga hasa.
Rais JK amesema amefurahishwa taarifa ya CAG imepewa nafasi yake kujadiliwa na mapendekezo ni mazuri.
Serikali imejipanga kuyatekeleza.
Yeye kama Rais ndio alipendekeza reports za CAG ziwekwe wazi bunge na wananchi wazisome na kujadili.
UPDATES
-alimuagiza CAG aimarishe ofisi yake.
-sheria ya ukaguzi iliboreshwa na CAG alipewa mamlaka zaidi
-hakuna chombo nchini chenye mamlaka ya kumuondoa au kumdhibiti CAG
- CAG akigundua kuna hali ya wizi, akabidhi wahusika kwenye vyombo vya dola wakati uchunguzi unaendelea
Hakuna baraza jipya la mawaziri