Njowepo
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 9,710
- 2,226
MAY DAY 2012:JK - MJADALA WA BUNGENI JUU YA KAMATI NA REPORT YA CAG
Anasema ukiwa kiongozi lazima uwe nangozi nene!
Alifurahishwa na ule mjadala kwa kuupa uzito taarifa ya CAG
Anasema amejipanga kutekeleza mapendekezo hayo b'se hata kujadili taarifa ya kuijadili ni matashi yake ijadiliwe bungeni. Kabla ya hapo izi taarifa zilikuwa haziwekwi wazi.
Anasema kwenye hamashauri kuna mchwa wanakula noti za serikali.
Lengo lake juu ya huu ukaguzi nikuhakikisha na fedha za umma zatumika ipasavyo!
Sheria iliyomwanzisha CAG inamlindakuondolewa maana kuna wakati anaikosoa mpaka ikulu.
Anasisitiza kuwa wanaobainika naubadhilifu CAG kabidhi kwa PCCB na kwa Polisi kwenye ibara ya 27.
So far kuna wakaguzi 378 hii yote nikuiwezesha ofisi ya CAG pamoja na kuwajengea ofisi zao kimkoa!
Anasema hamashauri wanatumia ela kamaUbani wa kilioni yaani hazina mwenyewe.
Aliajiri wahasibu 795 ili watawanywemikoani kusiwe na excuse ya halmashauri kutokuwa na competentaccountants. Mwaka jana 72 halmashauri zilipewa hati safi mwaka janaso kuna improvement toka 56.
Wizara 50 good mashaka 10 ie kwa mwaka jana.
Value for money audit ikaanzishwaambapo mpaka maengineer wanatumika.
Kila idara ameweka wakaguzi wa Ndaniambaye anawajibika kwa Chief Internal Auditor na sio kwa mkurugenzi/wala kwa katibu mkuu wa mahala husika.
Kutakuwa na uwazi kwenye mgao wa fedhaza serikali na jinsi zinavyotumika.
Na speech ndo imeisha hakuna kipya kwa wafanyakazi ingawa kasema kutakuwa na nyongeza ya mshahara kwa next fiscal year
MY TAKE
1. Anaonekana yuko very much concernedna huu wizi sasa sijui atachukua hatua gani.
2. Hivi kwa nini katka level yamkoa/wilaya wasiwe wanazijadili izi taarifa za CAG to the respective region/district pamoja na utumbo wao kuwekawa hadharani hasa kwenye vile vikao vinavyo involve madiwani ili angalau kuwe na seriousness.
3. Kama CAG alishapewa rungu la kukabidhi polisi wahalifu mbona hawa mawaziri ndo kwanza twaambiwa sound za CAG.
Anasema ukiwa kiongozi lazima uwe nangozi nene!
Alifurahishwa na ule mjadala kwa kuupa uzito taarifa ya CAG
Anasema amejipanga kutekeleza mapendekezo hayo b'se hata kujadili taarifa ya kuijadili ni matashi yake ijadiliwe bungeni. Kabla ya hapo izi taarifa zilikuwa haziwekwi wazi.
Anasema kwenye hamashauri kuna mchwa wanakula noti za serikali.
Lengo lake juu ya huu ukaguzi nikuhakikisha na fedha za umma zatumika ipasavyo!
Sheria iliyomwanzisha CAG inamlindakuondolewa maana kuna wakati anaikosoa mpaka ikulu.
Anasisitiza kuwa wanaobainika naubadhilifu CAG kabidhi kwa PCCB na kwa Polisi kwenye ibara ya 27.
So far kuna wakaguzi 378 hii yote nikuiwezesha ofisi ya CAG pamoja na kuwajengea ofisi zao kimkoa!
Anasema hamashauri wanatumia ela kamaUbani wa kilioni yaani hazina mwenyewe.
Aliajiri wahasibu 795 ili watawanywemikoani kusiwe na excuse ya halmashauri kutokuwa na competentaccountants. Mwaka jana 72 halmashauri zilipewa hati safi mwaka janaso kuna improvement toka 56.
Wizara 50 good mashaka 10 ie kwa mwaka jana.
Value for money audit ikaanzishwaambapo mpaka maengineer wanatumika.
Kila idara ameweka wakaguzi wa Ndaniambaye anawajibika kwa Chief Internal Auditor na sio kwa mkurugenzi/wala kwa katibu mkuu wa mahala husika.
Kutakuwa na uwazi kwenye mgao wa fedhaza serikali na jinsi zinavyotumika.
Na speech ndo imeisha hakuna kipya kwa wafanyakazi ingawa kasema kutakuwa na nyongeza ya mshahara kwa next fiscal year
MY TAKE
1. Anaonekana yuko very much concernedna huu wizi sasa sijui atachukua hatua gani.
2. Hivi kwa nini katka level yamkoa/wilaya wasiwe wanazijadili izi taarifa za CAG to the respective region/district pamoja na utumbo wao kuwekawa hadharani hasa kwenye vile vikao vinavyo involve madiwani ili angalau kuwe na seriousness.
3. Kama CAG alishapewa rungu la kukabidhi polisi wahalifu mbona hawa mawaziri ndo kwanza twaambiwa sound za CAG.