Mei Mosi 2012: JK akasirishwa na utafunaji wa pesa za umma, wahusika kukiona...

Rais JK amesema amefurahishwa taarifa ya CAG imepewa nafasi yake kujadiliwa na mapendekezo ni mazuri. Serikali imejipanga kuyatekeleza.Yeye kama Rais ndio alipendekeza reports za CAG ziwekwe wazi bunge na wananchi wazisome na kujadili.UPDATES-alimuagiza CAG aimarishe ofisi yake. -sheria ya ukaguzi iliboreshwa na CAG alipewa mamlaka zaidi -hakuna chombo nchini chenye mamlaka ya kumuondoa au kumdhibiti CAG- CAG akigundua kuna hali ya wizi, akabidhi wahusika kwenye vyombo vya dola wakati uchunguzi unaendeleaHakuna baraza jipya la mawaziri
Kilichofanyika wka kuimarisha ofisi ya CAGF ni hatua nzueri kwa kuanzia, lakini haya yote hayatakuwa na maana iwapo hatua inayofuata haitatekelezwa kwa ufasaha na kwa dhati. hatua hiyo ni kuchukua hatua kali dhidi ya wote watakaobainishwa na CAG kuwa ni wezi wa mali ya umma
 
Rais Jakaya Kikwete leo katika mei mosi amejibu madai yote yaliyotolewa na CHADEMA kwamba CCM na serikali yake inashindwa kushughulikia matatizo katika uchumi ikiwemo mfumuko wa bei, ukosefu wa ajira kwa vijana, kupungua kwa uzalishaji na matumizi makubwa ya serikali ukilinganisha na mapato. Rais Kikwete ametoa majibu ya kina namna ambavyo kila tatizo limeshughulikiwa vizuri. Rais Kikwete amejibu pia madai ya CHADEMA kuwa ameshindwa kushughulikia ufisadi ikiwemo ambao umetajwa kwenye ripoti za mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali. Rais Kikwete ameeleza kwa kina namna ambavyo toka mwaka 2007 Serikali imechukua hatua sahihi. Hotuba hiyo ya Kikwete imerejesha matumaini ya wananchi kwa CCM na kwa serikali iliyoko madarakani.
 
Njowepo kila Halmashauri hupewa nakala ya taarifa yao ya ukaguzi kila mwaka. Anachopeleka CAG Bungeni ni taarifa ya Jumla ya serikali zote za mitaa. Kwamba taarifa zinajadiliwa katika level ya Halmashauri naweza kusema ndiyo kwa sababu kuna utaratibu Halmashauri ikipata hati chafu hunyimwa pesa ya maendeleo. Tatizo liko upande wa uelewa wa madiwani wetu na dhana nzima ya kuweka maslahi ya chama mbele
 
Last edited by a moderator:
hajajibu kitu bado,aseme kama na yeye kashajipeleka mahakamani maana na yeye yumo kwenye list ya mwembeyanga
 
Rais Jakaya Kikwete leo katika mei mosi amejibu madai yote yaliyotolewa na CHADEMA kwamba CCM na serikali yake inashindwa kushughulikia matatizo katika uchumi ikiwemo mfumuko wa bei, ukosefu wa ajira kwa vijana, kupungua kwa uzalishaji na matumizi makubwa ya serikali ukilinganisha na mapato. Rais Kikwete ametoa majibu ya kina namna ambavyo kila tatizo limeshughulikiwa vizuri. Rais Kikwete amejibu pia madai ya CHADEMA kuwa ameshindwa kushughulikia ufisadi ikiwemo ambao umetajwa kwenye ripoti za mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali. Rais Kikwete ameeleza kwa kina namna ambavyo toka mwaka 2007 Serikali imechukua hatua sahihi. Hotuba hiyo ya Kikwete imerejesha matumaini ya wananchi kwa CCM na kwa serikali iliyoko madarakani.

CHADEMA ni noma, siku moja tu baada ya tamko la baraza kuu lililotolewa jana Rais Kikwete amezungumza masuala waliyoyasema. Ila sikubaliani nawe, mimi pia ni mwananchi Rais Kikwete ameendelea na usanii ule ule.

CHADEMA walisema haya: chadematv - YouTube na Kikwete amejibu tu kisiasa, toka mwaka 2007 ni hatua zipi za maana alichokukua kiasi cha kumpongeza?
 
We chizi kweli matumaini gani sasa kwa maneno bila vitendo. Mie nadhani kaenda kuwAmbia wafanyakazi atapunguza kodi kumbe mmempeleka kumjibu Dr. Slaa CCM kwa wafanyakazi
 
To me it was full of blah blah!
Ni mambo ambayo ata mwakani atayaongelea kama mfano matumizi ya mambonde yetu kuzalisha chakula cha kutosha toka enzi za Nyerere wanayongelea we need action!
Rufiji basini when used effectively can feed half of Africa is not the whole of Africa
 
Kama huu utumbo CAG ameanza kuuanika toka 2007 why now that everything is Bold!
 
Binafsi nitazidi Kumpenda na Kumuheshimu my presdnt Excelence Dr J.M.KIKWETE kwa mambo 2 makubwa mawili..
1/UWAZI : KWA HILI MKUU YUKO JUU SANA ..INGEKUWA SERIKARI YA KIDIKTETA,HAYA LEO 2SINGEYASIKIA...

2/MJADALA WA KUANDIKA KATIBA MPYA....

HÖNGERA SANA J.K ingawa hakujibu hoja za msingi za wafanyakazi..
Wewe humuji Kikwete. Rejea kauli yake ya 22.04.2012, "NI UPEPO TU, UTAPITA". Na hilo ndilo analofanya, aonekane mwema machoni mwa wenye tongotongo, ambao kwa bahati mbaya ndio wengi, na kuusukuma upepo upite.

Enzi za Watanzania kufanywa watoto wadogo, waimbiwe nyimbo na mama, watolewe hadithi na bibi, watishwe na babu mwenye gunia...ili walale au waogope...enzi hizo zimepita. Lolote atakalosema kwa sasa, ikiwa halikuambatana na walioiba kurejesha kwanza walichoiba, baadaye kuwajibishwa na kufikishwa kwenye vyombo vya sheria, zitakuwa nyimbo, hadithi na vitisho...that we can't buy them anymore.
 
we sijui huo utafiti umefanya saa ngapi mpaka useme hivyo,nahisi ww ni nape umekuja na id yako nyingine kuja kupima upepo!
 
Rais Jakaya Kikwete leo katika mei mosi amejibu madai yote yaliyotolewa na CHADEMA kwamba CCM na serikali yake inashindwa kushughulikia matatizo katika uchumi ikiwemo mfumuko wa bei, ukosefu wa ajira kwa vijana, kupungua kwa uzalishaji na matumizi makubwa ya serikali ukilinganisha na mapato. Rais Kikwete ametoa majibu ya kina namna ambavyo kila tatizo limeshughulikiwa vizuri. Rais Kikwete amejibu pia madai ya CHADEMA kuwa ameshindwa kushughulikia ufisadi ikiwemo ambao umetajwa kwenye ripoti za mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali. Rais Kikwete ameeleza kwa kina namna ambavyo toka mwaka 2007 Serikali imechukua hatua sahihi. Hotuba hiyo ya Kikwete imerejesha matumaini ya wananchi kwa CCM na kwa serikali iliyoko madarakani.

kila jibu wasema kajibu kwa kina, mbona sikioni hicho kina kwenye riwaya yako?
 
je watakao kiona ni pamoja na wale wa RICHMOND, KAGODA, MEREMETA na ripoti ya CAG?? au kuna mafungu ya watu wa kushughulikiwa?
 
On a serious note he has to take actions izi blah blah tumezichoka!
Sasa kama CAG aliambiwa akabizi wabadhilifu kwa POLISI instantly mbona amewaspare hawa mawaziri?
 
Back
Top Bottom