Mechi za CAF jukumu la ulinzi uwanjani nani anahusika? Simba ikanushe hizi tuhuma

vvvv

JF-Expert Member
Apr 12, 2018
335
547
Naomba kufahamu,hii michezo ya CAF inayoendelea siku ya mechi jukumu la ulinzi ni la CAF,TFF au timu husika?

Maana mechi ya Simba na Jwaneng Galaxy kile kilichofanyika kinashusha hadhi mpira wetu kwenye ramani ya Africa, kuna mtu alijitokeza upande wa Jwaneng alikuwa anafanya mambo ya kijadi halafu akakimbia,akafukuzwa na walinzi walipomkamata wakaanza kumpiga mateke na ngumi,video inatrend sana mtandao wa X.

Na pia Jwaneng wamepeleka malalamiko CAF kwamba

*Hotelini waliwekewa sumu kwenye chakula ikawathiri wachezaji wao watano na wakapona kabla ya mechi kwa jitihada za madaktari wao.
*Kipa wao kuibiwa simu na walinzi na kumpiga
*Wachezaji wao kujeruhiwa na kutupiwa chupa.
*Kuumizwa kisaikolojia na wamemaliza nguvu nyingi nje ya uwanja.
*Kuwekewa sumu kwenye vyumba vya kubadili nguo na kugoma kuingia vyumbani

Ingekuwa vizuri Simba itoe tamko au karipio kuchafuliwa maana haya malalamiko si mara ya kwanza.
Ingawa Jwaneng ndo waliosababisha hii vurugu lakini image inayochafuka ni ya Simba pia walinzi wa uwanjani hawakustahili kuwapiga pale walipokuwa wanalazimisha kuingia kupitia geti lingine mbali na geti husika.
 
Yanga waliwahi kuadhibiwa na CAF kisa kikiwa Basi la Rivers lilivunjwa kioo na kuibiwa Dola kadhaa wakati Yanga hawahusiki na ulinzi wa bus la Livers, vitu hivyo vili ibiwa wakati wachezji wakiwa mazoezini pale uwanja wa Taifa.

Shida ya Simba imekua iki lalamikiwa kwa muda mrefu na timu tofauti zaidi ya 7 zilizowahi kucheza na Simba apa DAR.
 
Yanga waliwahi kuadhibiwa na CAF kisa kikiwa Basi la Rivers lilivunjwa kioo na kuibiwa Dola kadhaa wakati Yanga hawahusiki na ulinzi wa bus la Livers, vitu hivyo vili ibiwa wakati wachezji wakiwa mazoezini pale uwanja wa Taifa.

Shida ya Simba imekua iki lalamikiwa kwa muda mrefu na timu tofauti zaidi ya 7 zilizowahi kucheza na Simba apa DAR.
Lakini hizi ni tuhuma tu,but kwenye hii mechi ya Galaxy Simba kama timu hawahusiki na chochote ishu ni walinzi wa uwanja
 
(*Hotelini waliwekewa sumu kwenye chakula ikawathiri wachezaji wao watano na wakapona kabla ya mechi kwa jitihada za madaktari wao.)
Jibu: Anayestahiki kulaumiwa ni mmiliki wa Hiyo Hoteli.

(*Kipa wao kuibiwa simu na walinzi na kumpiga)
(*Wachezaji wao kujeruhiwa na kutupiwa chupa)
(*Kuumizwa kisaikolojia na wamemaliza nguvu nyingi nje ya uwanja.)
Jibu: Wakulaumiwa ni wao wenyewe kwa kulazimisha kupitia mlango wa nyuma kule wanapopitiaga timu ya Utopolo, badala ya mlango walioelekezwa

(*Kuwekewa sumu kwenye vyumba vya kubadili nguo na kugoma kuingia vyumbani)
Jibu: Walete huo ushahidi wa hiyo Sumu na waseme ni mchezaji yupi alipata madhara ya hiyo Sumu. Hii ni hofu iliyopo kwenye hisia za timu zote zinazokuja Benjamin Mkapa hasa baada ya kuaminishwa na watu.
-Tena hii ni mind-game ni nzuri kwa timu zote za Bongo zikicheza na timu za nje zinazoamini ushirikina huwa zinawaathiri kisaikolojia na kuwatoa mchezoni kirahisi.

Hawa Jwaneng ni washirikina wazuri tu, tuliwaona walichokifanya uwanjani kwenye mechi yao na Wydad, kilichotokea ni kwamba wamekutana na magwiji wenye imani kama zao na wamewazidi akili
 
(*Hotelini waliwekewa sumu kwenye chakula ikawathiri wachezaji wao watano na wakapona kabla ya mechi kwa jitihada za madaktari wao.)
Jibu: Anayestahiki kulaumiwa ni mmiliki wa Hiyo Hotel au mwenyeji wao aliyewakaribisha Avic town.

(*Kipa wao kuibiwa simu na walinzi na kumpiga)
(*Wachezaji wao kujeruhiwa na kutupiwa chupa)
(*Kuumizwa kisaikolojia na wamemaliza nguvu nyingi nje ya uwanja.)
Jibu: Wakulaumiwa ni wao wenyewe kwa kulazimisha kupitia mlango wa nyuma kule wanapopitiaga timu ya Utopolo, badala ya mlango walioelekezwa

(*Kuwekewa sumu kwenye vyumba vya kubadili nguo na kugoma kuingia vyumbani)
Jibu: Walete huo ushahidi wa hiyo Sumu na waseme ni mchezaji yupi alipata madhara ya hiyo Sumu. Hii ni hofu iliyopo kwenye hisia za timu zote zinazokuja Benjamin Mkapa hasa baada ya kuaminishwa na watu.
-Tena hii ni mind-game ni nzuri kwa timu zote za Bongo zikicheza na timu za nje zinazoamini ushirikina huwa zinawaathiri kisaikolojia ya kuwatoa mchezoni kirahisi.

Hawa Jwaneng ni washirikina wazuri tu, tuliwaona walichokifanya uwanjani kwenye mechi yao na Wydad, kilichotokea ni kwamba wamekutana na magwiji wenye imani kama zao na wamewazidi akili
Wakuu hizi timu huwa wanazusha tu tuhuma,unakumbuka timu nyingi walituhumu Simba kila wanapofungwa,lakini mwisho wa siku CAF wanatupilia mbali malalamiko,maana kila mechi ina makamishna wa CAF ,wanahakiki vyumba kabla ya mchezo,wanahakiki uwanja na wanaandika ripoti mechi ikiisha,mwisho wa siku wanapuuzwa tu
 
Wakuu hizi timu huwa wanazusha tu tuhuma,unakumbuka timu nyingi walituhumu Simba kila wanapofungwa,lakini mwisho wa siku CAF wanatupilia mbali malalamiko,maana kila mechi ina makamishna wa CAF ,wanahakiki vyumba kabla ya mchezo,wanahakiki uwanja na wanaandika ripoti mechi ikiisha,mwisho wa siku wanapuuzwa tu
Tena huwa wanawakabidhi hadi funguo za vyumba mapema ili wakae nazo na bado wakishafungwa ndio wanalalamika.

Kwa nini wasiwe wanalalamika kabla ya mechi ili waruhusiwe kujihami mapema?. Wanajitoa mchezoni wenyewe tu kwa kuingia kwenye mfumo ambao kiuhalisia wala haupo
 
sikupenda tukio la walinzi kumpiga yule jamaa!, nafikiri walinzi wanahitaji hekima zaidi katika kutatua shida zinazohusu karia yao!, mindset ya kuwa mlinzi basi unatakiwa kupiga tu itabidi ifanyiwe kazi.. yule hakuwa wakupigwa tena kwa kuchangiwa it's nonsense!
 
Naomba kufahamu,hii michezo ya CAF inayoendelea siku ya mechi jukumu la ulinzi ni la CAF,TFF au timu husika?

Maana mechi ya Simba na Jwaneng Galaxy kile kilichofanyika kinashusha hadhi mpira wetu kwenye ramani ya Africa, kuna mtu alijitokeza upande wa Jwaneng alikuwa anafanya mambo ya kijadi halafu akakimbia,akafukuzwa na walinzi walipomkamata wakaanza kumpiga mateke na ngumi,video inatrend sana mtandao wa X.

Na pia Jwaneng wamepeleka malalamiko CAF kwamba

*Hotelini waliwekewa sumu kwenye chakula ikawathiri wachezaji wao watano na wakapona kabla ya mechi kwa jitihada za madaktari wao.
*Kipa wao kuibiwa simu na walinzi na kumpiga
*Wachezaji wao kujeruhiwa na kutupiwa chupa.
*Kuumizwa kisaikolojia na wamemaliza nguvu nyingi nje ya uwanja.
*Kuwekewa sumu kwenye vyumba vya kubadili nguo na kugoma kuingia vyumbani

Ingekuwa vizuri Simba itoe tamko au karipio kuchafuliwa maana haya malalamiko si mara ya kwanza.
Ingawa Jwaneng ndo waliosababisha hii vurugu lakini image inayochafuka ni ya Simba pia walinzi wa uwanjani hawakustahili kuwapiga pale walipokuwa wanalazimisha kuingia kupitia geti lingine mbali na geti husika.
vumilieni kama yanga walivyovumila ile propaganda yenu ya kwamba yanga waliwapa jwaneng Avicii na mbinu mbalimbali ili mfungwe mwisho wa siku shabiki wenu kindaki ndaki Karia kawazodoa juu ya hilo
 
vumilieni kama yanga walivyovumila ile propaganda yenu ya kwamba yanga waliwapa jwaneng Avicii na mbinu mbalimbali ili mfuko mwisho wa siku shabiki wenu kindaki ndaki Karia kawazodoa juu ya hilo
Karia ni wenu sisi hatumjui
 
Naomba kufahamu,hii michezo ya CAF inayoendelea siku ya mechi jukumu la ulinzi ni la CAF,TFF au timu husika?

Maana mechi ya Simba na Jwaneng Galaxy kile kilichofanyika kinashusha hadhi mpira wetu kwenye ramani ya Africa, kuna mtu alijitokeza upande wa Jwaneng alikuwa anafanya mambo ya kijadi halafu akakimbia,akafukuzwa na walinzi walipomkamata wakaanza kumpiga mateke na ngumi,video inatrend sana mtandao wa X.

Na pia Jwaneng wamepeleka malalamiko CAF kwamba

*Hotelini waliwekewa sumu kwenye chakula ikawathiri wachezaji wao watano na wakapona kabla ya mechi kwa jitihada za madaktari wao.
*Kipa wao kuibiwa simu na walinzi na kumpiga
*Wachezaji wao kujeruhiwa na kutupiwa chupa.
*Kuumizwa kisaikolojia na wamemaliza nguvu nyingi nje ya uwanja.
*Kuwekewa sumu kwenye vyumba vya kubadili nguo na kugoma kuingia vyumbani

Ingekuwa vizuri Simba itoe tamko au karipio kuchafuliwa maana haya malalamiko si mara ya kwanza.
Ingawa Jwaneng ndo waliosababisha hii vurugu lakini image inayochafuka ni ya Simba pia walinzi wa uwanjani hawakustahili kuwapiga pale walipokuwa wanalazimisha kuingia kupitia geti lingine mbali na geti husika.
Hebu waulize kwanza hao Galaxy pamoja na wale bleach FC waliowapeleka Avic Town na kuwapa mbinu za kushinda mchezo dhidi ya Simba. Je, hao Galaxy wangeshinda huo mchezo wangetoa haya malalamiko?
 
Si ndo kama hivo,mechi ya ule msimu walipotutoa Dar hawakulalamika
Hebu waulize kwanza hao Galaxy pamoja na wale bleach FC waliowapeleka Avic Town na kuwapa mbinu za kushinda mchezo dhidi ya Simba. Je, hao Galaxy wangeshinda huo mchezo wangetoa haya malalamiko?
 
(*Hotelini waliwekewa sumu kwenye chakula ikawathiri wachezaji wao watano na wakapona kabla ya mechi kwa jitihada za madaktari wao.)
Jibu: Anayestahiki kulaumiwa ni mmiliki wa Hiyo Hotel au mwenyeji wao aliyewakaribisha Avic town.

(*Kipa wao kuibiwa simu na walinzi na kumpiga)
(*Wachezaji wao kujeruhiwa na kutupiwa chupa)
(*Kuumizwa kisaikolojia na wamemaliza nguvu nyingi nje ya uwanja.)
Jibu: Wakulaumiwa ni wao wenyewe kwa kulazimisha kupitia mlango wa nyuma kule wanapopitiaga timu ya Utopolo, badala ya mlango walioelekezwa

(*Kuwekewa sumu kwenye vyumba vya kubadili nguo na kugoma kuingia vyumbani)
Jibu: Walete huo ushahidi wa hiyo Sumu na waseme ni mchezaji yupi alipata madhara ya hiyo Sumu. Hii ni hofu iliyopo kwenye hisia za timu zote zinazokuja Benjamin Mkapa hasa baada ya kuaminishwa na watu.
-Tena hii ni mind-game ni nzuri kwa timu zote za Bongo zikicheza na timu za nje zinazoamini ushirikina huwa zinawaathiri kisaikolojia na kuwatoa mchezoni kirahisi.

Hawa Jwaneng ni washirikina wazuri tu, tuliwaona walichokifanya uwanjani kwenye mechi yao na Wydad, kilichotokea ni kwamba wamekutana na magwiji wenye imani kama zao na wamewazidi akili
Walikuja ki uto uto wamekandwa mpk wamepata kizungu zungu...wawalaumu waliowatuma..
 
Naunga Mkono hoja na Ndio wanawa Pump Washitakia CAF ili Kumkomoa Mnyama!
Wanaona Kama Mnyama Mwaka Huu atatoboa Robo!
Siku Watanzania mkijifunza kuwajibika Kwa makosa yenu mtafika mbali Sana.
 
Back
Top Bottom