Chimunguru
JF-Expert Member
- May 3, 2009
- 10,678
- 4,350
big up mrema wa chadema umenipa data muhimu, tani 50 za dhahabu kodi imekwenda wapi? nyerere alijenga nchi kwa kutegemea kahawa korosho chai akajenga nchi sasa tuna dhahabu hakuna kitu kinafanyika