Elections 2010 Mdahalo wa Wagombea vijana Movenpik 25/09/2010

We sijui ndo Kudadeki, whoever the hell you, are jenga hoja! Myika ni mgombea ubunge kupitia CHADEMA aliyetokea kwa na kabila kama ulivyo wewe..
Nilichopost mimi na ulichonijibu haviendani.Mimi nilikuwa nina mwambia Kudadeki achane na siasa za ukabila,wewe umenirukia na kuongelea kitu kingine.
 
Kwenye mkutano wa kampeni ndiyo una muda mwingi wa kupiga soga na kuifafanua sera ya chama chako. Kwenye mdahalo una restriction ya muda and you have to answer the question within the given time limit. Nitakupa mfano wa swali la elimu. Muongeaji wa CUF alienda straight to the point kuwa from chekechea to chuo kikuu, elimu itakuwa bure chini ya uongozi wa Prof. Lipumba. Yule muongeaji wa Chadema akaanza kutoa maelezo ya taaluma ya ualimu kuachwa nyuma na sijui kudharauliwa, matokeo yake muda ukaisha na kashindwa kujibu swali.

Sawa mjuaji wewe...ofcourse majibu ya CUF yalikuwa yakilenga watu wa aina yako....ushabiki
 
Acha uongo wako wa kujifanya wewe CCM. Ule ulikuwa mdahalo, unatakiwa kuonyesha uwezo wa kujibu maswali haraka na kwa muda uliowekewa. Ule ilikuwa siyo RTD ya Nyerere aliyekuwa anaongea masaa 3 mfululizo bila ya kuzingatia muda na kubaki kuchekacheka.

Wazungumzaji wa CHADEMA walibaki kujisifia kuwa wao ndiyo wamefanya hivi na wao ndiyo wamefanya vile kwenye bunge. Yaani watu 11 wanaweza kutufanya sisi tuamini kuwa ndiyo waliopitisha sheria mpya ya madini? Swali la vipi mtapiga vita na kuondoa kero ya ufisadi, jibu linaanza kuelezea historia ya bunge liliopita matokeo yake swali halijibiwi na muda unaisha. Ukiulizwa 1+1 ni ngapi na una muda mdogo wa kujibu na ukaanza kueleza kuna robo ngapi kwenye hiyo moja na kuna nusu ngapi kwenye kila moja ya hiyo moja, hayo ni matatizo ya wazungumzaji wenu. Wakulaumiwa siyo wazungumzaji wa CUF!

Kwa nini hupendi CHADEMA wasifiwe? Hapa kila mtu anatoa mawazo yake. Unayo haki kabisa ya kuwamwagia CUF sifa kemkem ukitaka hukatazwi.

Nakubaliana nawe kwamba CHADEMA walipoteza muda mwingi kueleza yaliyopita na kuonekana kama wanajisifu vile!
 
Utaendelea kujifunza huku roho ikikuuma. Ila ushauri wa bure usije ukajiua tu wakati wa matokeo ya uchaguzi yatakapoanza kutoka baada ya uchaguzi. :becky:

Achana nao hao kudadadeki, kitu kimoja hujui majority ya wanajf ni chadema, na hii forum ni yao, so usghabiki kwa chadema kwa cost yoyote ni lazima. we waache washabikie tu wakiwa kwenye net na wakati hawapigi kura ndo watajua kama mtatiro ndo atashinda ubungo au mnyika, lets wait n c.
 
Back
Top Bottom