Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,364
Watakuja wakina zomba waseme idadi ya watu ya kipindi cha Nyerere haikuwa kubwa Kama sasa hivi lakini bado naungana na wewe kwasababu ukijaribu kutafuta wastani utakuta vipindi vya hawa maraisi watatu wameua kipitiliza ukilinganisha na kipindi kile cha Nyerere ambacho hata neno fisadi halikuwahi kutajwa midomoni mwa wananchi
Kipindi hicho mafisadi ndo walikuwa wanaitwa wahujumu uchumi ambapo hilo neno ndo limekuwa derived to fisadi