Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,553
- 3,070
Wananchi wengi sana walihamishwa kwenye sera ya vijiji vya ujamaa, huwezi kufananisha na hawa tunawaowahamisha kwenye kupisha miradi mikubwa kwa faida ya wengi! Ukiangalia population wise utakuta hata zaidi ya 50% ya watanzania waliondolewa kwenye makazi yao which is very significant. Niambie asilimia ngapi ya Watanzania wamehamishwa kipindi cha Mkapa na Kikwete.