Faza maword
Member
- Oct 25, 2016
- 15
- 2
Nenda na jembe kabs mkuuKama wanagawa ela tunaenda.
Au ngoja niende nikamwage choz mbele yake, ndio ataelewa kua mm n poor peasant.
Mkuu itakuwa ni pale loans board?Nilikuwa niende Mzumbe leo lakini nimeahirisha hadi nimsikie bwana Badru kuhusu hatma ya Diploma Holders.
Hahah..Nenda na jembe kabs mkuu
Huu mdahalo sina uhakika nao.. hata mleta mada haonekani kujua loloteMkuu itakuwa ni pale loans board?
Mkopo si zawadi, mkopo una masharti, nadhani hii hali inatakiwa kueleweshwa sana.Watu hawataki ufafanuzi hauna impact Watu wanataka pesa wasome watarudisha si ni mkopo
Huo ni uongo maana mpaka mwaka huu,hao hao wameosoma private bado wengine wamepata mkopo.Sema labda waliosoma diploma ndio wanaweza enguliwa maana mpaka sasa hakuna diploma hata mmoja aliepata mkopo(ingawa pia hii sina uhakika).Nasikia wale waliosoma privet wote wanapigwa chini na hata madent wa 2nd year wanachambuliwa walikuwa hawastahili watapigwa chini.
Sina uhakika lakini ni habari za kunyapianyapia mwenye ukweli tupe data
Wapo wamepataHuo ni uongo maana mpaka mwaka huu,hao hao wameosoma private bado wengine wamepata mkopo.Sema labda waliosoma diploma ndio wanaweza enguliwa maana mpaka sasa hakuna diploma hata mmoja aliepata mkopo(ingawa pia hii sina uhakika).
Mbona mtoto wa NDALICHAKO kapata mkopo na kasoma private tangu chekechea.Nasikia wale waliosoma privet wote wanapigwa chini na hata madent wa 2nd year wanachambuliwa walikuwa hawastahili watapigwa chini.
Sina uhakika lakini ni habari za kunyapianyapia mwenye ukweli tupe data