VoiceOfReason
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,194
- 1,355
Pesa kwenye account ya Idd Simba ilikuwa ni committment fee na sio pesa ya kununua UDA
<br />Sasa anatoa sababu za wao kuweka mkwanja kwa idi simba<br />
<br />
1. eti kwa vile mchakato ulikua bado, na hivyo hiyo pesa haikua ya UDA<br />
2. Kwa sababu hakuna mtu hapa dar es salaam asiyejua integrity ya idi simba<br />
<br />
unacheck sababu za Simon Group kuweka mkwanja kwa jamaa? and you still think they are serious investors?
tumefungua kesi mahakamani kudai fedha zilizoingizwa kwenye account ya Idd Simba ziende kwenye akaunt sahihi, ya UDA.kesi ipo mahakama kuu tangu desemba 2010, kama kuna harufu ya rushwa hapo, ktk maalipo hayo, sisi tusingefungua hiyo kesi- R. Kisena.