GHOST RYDER
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 1,025
- 475
Masaa Manne kutoka sasa Star TV kupitia kipindi cha Tanzania Tunayoitaka kinachoendeshwa na Rosemary Mwakitwange wataendesha Mjadala kuhusu sakata la UDA lililojaa sura tofauti kwa sasa
Updates zitapatikana hapa kwa kadiri mjadala utaklvyokuwa ukiendelea.
Kwa kuwa anasoma hapa pia muda huu kabla ya mjadala huo wadau tunalitazmaje hilo na nini hasa kinaweza kuwa cha msaada kwa muendesha kipindi hicho
Mjadala utaanza saa 12 kamili jioni
ADIOS
Updates zitapatikana hapa kwa kadiri mjadala utaklvyokuwa ukiendelea.
Kwa kuwa anasoma hapa pia muda huu kabla ya mjadala huo wadau tunalitazmaje hilo na nini hasa kinaweza kuwa cha msaada kwa muendesha kipindi hicho
Mjadala utaanza saa 12 kamili jioni
ADIOS