SWALI LA MCHANGIAJI KWA NDUGAI. Wakati wa kupitisaha bajeti kuna wakati muda unapokuwa mdogo, mbunge anauliza swali theni wazirianajibu but mbunge hapati tena muda wa kuhoji kama waziri alichosema waziri,je hii ni haki?
kila kitu ni makubaliano ya wabunge wenyewe,anajibu kihuni jamaa then anaondoka