Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
LISSU: Kuchaguliwa kuwa mbunge hakumfanyi mbunge kuacha wajibu wake wa kuisimamia serikali.SWALI: wabunge wa ccm hawisimamii serikali bali wanaitetea
hapa kapiga mkuki kwenye moyo wa swalaLISSU aponda wabunge wa ccm kwa kuishukuru serikali wakati wa kuchangia hoja,wanatumia muda mwaingi kuwashukuru wake zake zao,watoto,rais na waziri mkuu.pia kuunga hoja asilimia mia then wanasahau kuchangia hoja.
invisible imekuaje no umeme au?
kasindwa hoja anatumia hasira sasaHali ni tete, mdaharo ni mapambano kati ya ccm na cdm.ndugai anaponda sana na anasema kuwa ataendelea kuwatoa nje watovu wa nidhamu.